Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nyani Ngabu,
Ushamba wangu umetoka wapi..?ina maana kila mtu akiuliza swali ni Mshamba?au ndiyo kasumba yetu watanzanzania...Ndivyo tulivyo?
Ladies free siku gani bills?
Nimpigie nani?wapigie simu uwaulize....
Nimpigie nani?
Unajua utamu wa ladies free kijana?
nipe nambaWapigie bills............
nipe namba
namba za tz hazipatikani gugoi google.....
namba za tz hazipatikani gugo
lazima yufahamu ladies free siku gani.....discount
Ndugu wa nini?huna ndugu bongo?
Ndugu wa nini?
Mkuu camera kuwepo ni sawa tu ilimradi wasiwe wameweka na washing room 🙂
Kazi imesimama ile jamani tuache majungu...kama mabadiliko katika kumbi za starehe kweli jamaa ameyaleta na kawekeza!!
Unadhani Kinje anaweza funga club yake ya maisha mwaka mzima kuleta mabadiliko kama yale...!!afu club ipo shallow kiingilio ati buku kumi...kama siyo wizi ni nini!!!
Big up Bills...kazi nzuri na hivyo ndivyo wajasiliamali wanapaswa wawe...kwenda na muda!now wenye viji-club vyao lazima wafunge mwaka huu....