Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kwa wale wa azam game inarushwa zbc 2
Bonge la fainali
Est 3-0 al ahly aggregate (4-3)
Full-time
Bonge la fainali
Est 3-0 al ahly aggregate (4-3)
Full-time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo naangalia kupitia S10Kwa wale wa azam game inarushwa zbc 2
Bonge la fainali
Est 2-0 al ahly aggregate (3-3)
Dk ya 60
Tupo pamoja ila wanakuja hatari dk za mwisho hiziTeam esp piga hao AL ahly wazee wa kubebwa
Yani ilo timu linabebwa sana na ata game ya kwanza yalibebwa sanaTupo pamoja ila wanakuja hatari dk za mwisho hizi
Washakula tayari. Hawa Esperance walivyopata goli first game niliamini hawa wa Misri hawatokiYani ilo timu linabebwa sana na ata game ya kwanza yalibebwa sana
HahahahaIla mpira bana hao jamaa msimu ukianza ndio watacheza na kina Kichuya na mwenzake Kaseke halafu tukifungwa tunafukuza Kocha.