Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Nipo naangalia kupitia S10Kwa wale wa azam game inarushwa zbc 2
Bonge la fainali
Est 2-0 al ahly aggregate (3-3)
Dk ya 60
Tupo pamoja ila wanakuja hatari dk za mwisho hiziTeam esp piga hao AL ahly wazee wa kubebwa
Yani ilo timu linabebwa sana na ata game ya kwanza yalibebwa sanaTupo pamoja ila wanakuja hatari dk za mwisho hizi
Washakula tayari. Hawa Esperance walivyopata goli first game niliamini hawa wa Misri hawatokiYani ilo timu linabebwa sana na ata game ya kwanza yalibebwa sana
HahahahaIla mpira bana hao jamaa msimu ukianza ndio watacheza na kina Kichuya na mwenzake Kaseke halafu tukifungwa tunafukuza Kocha.