Club ya As Roma imepiga marufuku kwa wachezaji wake kupiga picha na msanii wa kufoka foka 'Drake'

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Club hicho kinachoshiriki ligu ya seria A ya italy kimefikia hatua hiyo kutokana na matokea mabovu yanazozipata club pindi wapigapo picha na msanii huyo

Inaripotiwa baada ya mchezaji wa dortumund kupiga picha na drake, walicharazwa mabao matano kwa nunge na dortimund

Aguero baada ya kupiga picha na drake, man city walikiona cha mtema kuni kutoka kwa totenham

Pia abameyung wa arsenal baada ya kupiga picha na drake walitandikwa vikali na evarton

Club hicho kimependekeza wasubiri mwisho wa musimu wanaweza kuruhusiwa

Picha za matukio


Tushukuru drake hajaja huku kwetu tanzania hawa kina ajibu na kina kindoki wangepiga picha na drake wangeacha kabisa mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…