Club ya Simba nimewakubali

Ndala bana..yanga hakuna mchezaji wa maana kama Ajib
RAGE aliwaita MAMBUMBUMBU
Chuchu HANS pope akawaita Wapumbavu
Akili za mashabiki wa matopeni wanazijua wao wenyewe...acha aveva na makofia waendelee kupiga madili hapo matopeni huku mkiwashangilia maana wanajua wanao waongoza ni MANYUMBU
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji85]
 
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sub yao anatoka kiiza anaingia mgosi,aahaaaaaaaaahaaaaa,mbavu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…