Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Timu ya Singida United inayoshiriki ligi kuu imetangaza kusaka wenye vipaji,na inakaribisha watu wenye vipaji popote Tanzania,wataojitokeza watafanyiwa majaribio kwa siku 5 kuanzia tar 12 mwezi huu.Yeyote atakayetaka kushiriki ajitegemee kwa gharama za siku tano,usafiri,malazi na chakula pia.
Wakuu fursa hiyo .
Wakuu fursa hiyo .