Club ya Singida UTD inakaribisha yeyote mwenye kipaji

Club ya Singida UTD inakaribisha yeyote mwenye kipaji

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Timu ya Singida United inayoshiriki ligi kuu imetangaza kusaka wenye vipaji,na inakaribisha watu wenye vipaji popote Tanzania,wataojitokeza watafanyiwa majaribio kwa siku 5 kuanzia tar 12 mwezi huu.Yeyote atakayetaka kushiriki ajitegemee kwa gharama za siku tano,usafiri,malazi na chakula pia.


Wakuu fursa hiyo .
 
Hii ndio njia sahihi kabisa ya kupata vipaji vikubwa kwa bei rahisi
 
Kwa upande fulani ni njia sahihi,ila hii namna ya usajili ni ngeni mno
Hii ndio njia sahihi kabisa ya kupata vipaji vikubwa kwa bei rahisi
 
Ndo walipofeli
 
Back
Top Bottom