Club za mpira Tz zinapataje faida?

Club za mpira Tz zinapataje faida?

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Kwa dunia ya wenzetu mpira ni biashara,ligi zao zinawadhamini,club zina zinaingia mikataba na kampuni kubwa km adidas na n.k.
Pia clubu wanauza wachezaji kwa gharama kubwa.l
Swali najiuliza kwa club za mpira Tz
1.hakuna wazamini
2.club hazina endorsement Kubwa za makampuni.
3.matumizi makubwa kuliko wanachoingiza.
Mfano simba wanaingia mkaba na kocha mshahara mil8 kwa mwezi,plus allowance,wananunua wachezaji kwa bei kubwa ,maadilio ya usajiri yanafikia 1 bilioni,hapo bado gharama za kuendesha timu,MTU km Mo anapata VP faida.

Timu km ndanda,mtibwa matumizi yao ni 15+ kwa mwezi hii pesa inarudi VP?
Nina mashaka kuna jambo nyuma ya pazia so bure .
 
faida zipo wangalie kina wambura, magori etc kila Siku kugombea kwenye hivyo vilabu.
 
faida zipo wangalie kina wambura, magori etc kila Siku kugombea kwenye hivyo vilabu.
That is TFF aise wanapata posho,misaada FIFA wanapata VP club?
 
Hili jambo mwenyewe nawazaga sana sema nafikiri mapato ya viwanjanja na michango ya wanachama au wadau mbali mbali
 
Team Haipati Faida Yoyote Ila Wanao Nufaika Ni Viongozi Pekee.
 
Faida kubwa anapata muwekezaji kama simba Mo inamlipa sana japo wewe unawez kuhisi anapata hasara
 
Hii issue inafkrisha sana, kama sa hv simba imekabidhiwa kopo linaloitwa kombe, no money na hakuna mdhamin, mlioko mtaa wa pili mtujuze mana viingilio vya getin sion kama vinasupport kivile,....labda posho za michuano ya kimataifa na viingilio vya mechi hzo...
 
Hii issue inafkrisha sana, kama sa hv simba imekabidhiwa kopo linaloitwa kombe, no money na hakuna mdhamin, mlioko mtaa wa pili mtujuze mana viingilio vya getin sion kama vinasupport kivile,....labda posho za michuano ya kimataifa na viingilio vya mechi hzo...
Faida zipo mkuu...zisingekwepo unadhani wafanyabiashara kama moodewji or bakhresa wengijiingiza kwenye hizi biashara za mpira...wale ndo wanajua pesa ipo wapi
 
Faida zipo mkuu...zisingekwepo unadhani wafanyabiashara moodewji or bakhresa wengijiingiza kwenye hizi biashara za mpira...wale ndo wanajua pesa ipo wapi
Nachojua Bakhresa na Mo wametarget audience ili bidhaa zao ziuzike, yana wanatumia fan base ya timu kama chambo..Alaf Azam tuitoe sababu hyo ni mradi wa mtu mmoja
 
Faida nadhani hawaangalii kwenye pesa bali ule umaarufu wanaoupata unawasaidia kufanya mishe zao zingine... mfano Mo kuwa simba kuna mpa benefits kibao za kibiashara kuliko mbunge au mwanasiàsa
 
Nachojua Bakhresa na Mo wametarget audience ili bidhaa zao ziuzike, yana wanatumia fan base ya timu kama chambo..Alaf Azam tuitoe sababu hyo ni mradi wa mtu mmoja
Sasa hao watu wanaotarget bidhaa zao ziuzike wanapojiingiza kwenye mpira ndo faida timu inaanza kupata hapo
 
H
Ameuliza Club inapataje faida? umeonyesha unajua, unaweza share hapa?
Apo kuna Siri kubwa nyuma ya Capet, kuijua Hadi uwe umesomea Cuba na venezuela.Niwape kidogo, mnakumbuka yusuph manji kipindi hicho, alikamatwa na madawa ya kulevya kilo nyingi akisafirisha nje, timu huhusika kikamilifu kusambaza unga kupitia mabegi ya wachezaji na mipira feki,. Ili wasihisiwe na serikali wanafanya kitu kinaitwa kutakatisha fedha.
 
Back
Top Bottom