CNN with Susan Kamene the best Makeup Artist in EA from Kenya

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Moja kati ya sector zinazokuwa kwa kasi barani Africa ni fashion na entertainment. Pia nimoja ya sector inayo tengeneza multimillioners wengi Africa. Ma makeup artists wamejizolea sifa yakushiliki katika hivyo vitengo vyote viwili kwani wanaumuhimu mkubwa sana. Kwa upande wa Kenya wameonyesha kutuzidi sisi Tanzania kwenye swala la makeup artist na Africa Masharikï kiujumla.

Then who is Susan Kamene??
Huyu dada ni moja kati ya Makeup Artist maharufu na anae kuja kwa kasi Africa Mashariki na kati hadi kupata kuweza kuhojiwa na kituo kikubwa kama CCN kupitia kipindi cha African Voices. Amesha fanya kazi na wasanihi wamziki wakubwa kama Sauti Soul Kenya, Vanessa Mdee na Jux Tanzania. Pia ameshiriki katika fashion shows, weddings na parties tofauti kama Makeup Artist nchini Kenya.

Pongezi kwake na wakenya kiujumala kwa kututoa kimasomaso Africa Mashariki kwenye bara la Afrïca. Juhudi zake ni msïngi wa maendeleo yetu sote hadi kuweza kuonyeshwa na kituo kikubwa duniani kama CNN. Follow her on social media by the name susankamene. EA kwanza. WA na SA baadae. Let us support our artist.
 
namuona mtaalam jux apo!!!
 
Aka best slay queen
Hivi kwa nini men and boys in Kenya huwa mnakuwa na low self-esteem hasa mnapo kutana au kuona msichana mrembo na mwenye kujipenda na hard working? Hivi kwanza unajua maana ya Slay Queen au unatamka tu? Someone to be recorgnized by an international media through her own effort alafu ukamuita Slay Queen you are just becoming a disgrace to your country.

The problem with you guys is that Cyprian Nyakundi has corrupted your mind kupitia Facebook page yake by trying to lecture you on issue to do with girls and relationship which him himself can not keep.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…