CNN's Richard Quest to tour Kenya

vizuri kabisa....waafrika mashariki wanaosafiri kwenda marekani itabidi wapitie Nairobi...watalii wa Marekani wanaoelekea uganda, rwanda, na kadhalika itabidi wapitie NairobiπŸ˜€πŸ˜€now that is what we call a kick right in the nuts or genitalia...ndio umuhimu wa kuwa gateway hub...there is no escaping the long arm of East Africa's largest economy
 
Ndio wengine wanasherehekea direct flights to Kigali in 2018.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
wengine wanafikiria tunazindua ukuta au liftiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€njooni mpande kq
 
Sio lazima, kwanza with poor service utawapata wasiojua tu. You can't even book a seat when buying a ticket only when your checking in, (Personal experience).

Top 63 Reviews and Complaints about Kenya Airways
 
Sio lazima, kwanza with poor service utawapata wasiojua tu. You can't even book a seat when buying a ticket only when your checking in, (Personal experience).

Top 63 Reviews and Complaints about Kenya Airways

Maumivu tu, pole bro.... Juzi nimeburudika kwa kitafuno cha sandwich ndani ya KQ iliyokua imejaa kweli kweli tokea Dar and Nrb, mnalalamika huku mitandaoni lakini kiukweli mnajazana hadi siti zinaisha.
 
Maumivu tu, pole bro.... Juzi nimeburudika kwa kitafuno cha sandwich ndani ya KQ iliyokua imejaa kweli kweli tokea Dar and Nrb, mnalalamika huku mitandaoni lakini kiukweli mnajazana hadi siti zinaisha.

Haha, halafu tunawalipa na hela hii hii ya madafu na mnaipokea kwa mikono miwili.
 
Haha, halafu tunawalipa na hela hii hii ya madafu na mnaipokea kwa mikono miwili.

Mtulipe tu, japo pale exchange rate ndio maumivu yote, yaani natoka Tanzania mfukoni nina milioni mbili za hayo madafu usitake kujua zilivyopunjwa wakati wa kuzibadilisha into Kenyan shillings.
 
Wakenya mnaonaga wazungu km miungu ...ona sasa unavyojiaibisha hpa, kumbe wode maya alikuwa sahihi kbsa
 
Sio lazima, kwanza with poor service utawapata wasiojua tu. You can't even book a seat when buying a ticket only when your checking in, (Personal experience).

Top 63 Reviews and Complaints about Kenya Airways
hahahaha...as always speaking nonsense...watalii wenu watapitia papa hapa nairobi upende usipende..waganda, wanyarwanda, wasomali na watz watatumia kq...na ukiumwa sana meza wembe ufeπŸ˜€πŸ˜€mtakapo launch flights zenu mje tuzungumze ila sasa hakuna kitu unaniambia...hayo mambo ya sijui quality makelele tu
 
He's talking like a barking homeless stray dog with rabies everywhere
 
Mtulipe tu, japo pale exchange rate ndio maumivu yote, yaani natoka Tanzania mfukoni nina milioni mbili za hayo madafu usitake kujua zilivyopunjwa wakati wa kuzibadilisha into Kenyan shillings.

Msitulaumu sisi kwa maisha yenu Kenya kuwa magumu, kitu kidogo unapewa bei ya kufa mtu, khaa.
 
Msitulaumu sisi kwa maisha yenu Kenya kuwa magumu, kitu kidogo unapewa bei ya kufa mtu, khaa.

Utakua hujanielewa, mara ya kwanza nakuja Bongo hayo madafu yenu yalikua 20Tsh to 1Kshs, leo hii mnachezea kwenye 23.8Tsh

Kuna mradi nilipoteza kwa ajili ya hizo hela zenu, nilimpa mteja quotation kwa Tshs (maana alisisitiza Tshs) lakini humo kuna vifaa nilitegemea kuagiza kutoka nje, hivyo nitakutumia bei ya hivyo vifaa kwenye exchange rate ya dollar ya wakati huo, mteja akachelewesha maamuzi, kuja kuibuka eti yuko tayari tufanye, nikakuta madafu yamepigwa vita na dollar balaa, yaani kiasi kwamba ikanibidi niongeze bei kwenye quotation, mteja akapiga chini mradi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…