Coach Miloud Hamid kuhamia Yanga sio ajabu ni biashara ya kawaida kabisa

Coach Miloud Hamid kuhamia Yanga sio ajabu ni biashara ya kawaida kabisa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Nimeshangaa baadhi ya waandishi na wachambuzi wa mpira kuhusisha usajili wa coach Miloud Hamdi na undugu wa Yanga na Singida.

Watu hawa wana uelewa mdogo

Hii ni professional football watu wanajali pesa hawapo kwenye hizi timu kuuza sura, hii sio amateur football

Morinho amefundisha timu 3 za England Chelsea, Manchester united na Tottenham Hotspur na wala hapakuwepo maneno ya undugu kutoka hizo timu

Simba waliwachukua wachezaji dozen kutoka Azam Kapombe, Manual, Wawa, Bocco na Nyoni na watu tuliona ni biashara ya kawaida labda wachezaji walifata maslahi Yao Simba

Pia Simba ishawahi kumhamisha Ngasa kutoka Azam ila watu hawakujadili urafiki wao,

Tujikumbushe uhamishi wa Ramadhani Singano na Mafisango kutoka Azam ila watu hatukujali kuwa Kuna undugu au Azam ni tawi la Simba

Pia Mgunda alichomolewa Coast union chap na msimu ukiendelea kuja kuwa coach Simba, hapa wachambuzi hawakuongelea Coast union kuwa tawi la Simba Bali Leo ndo wanashangaa.

Soma Pia: Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic. Na kumtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Singida Black Star ni timu ya mpira wala sio tawi la Yanga maana Simba walimnunua Kagoma kutoka hiyo Singida pia waliwauza akina Kagere, Mwenda, Kennedy Juma, Onyango, Gadiel Michael n. K kwenda SBS ila hakuna aliyesema Singida ni tawi la Simba

Karibu timu ya wananchi coach Miloud Hamid

Yanga Bingwa
 
Mashabiki wengi wa mpira hawana elimu ya elimu wao wanachojua ni ushabiki na kufuata akili za wachambuzi. Sasa ikitokea mchambuzi mmoja kwa upungufu wa akili akasema neno basi mashabiki maandazi nao wanafall humo humo.
 
Usibeze waandishi ikiwa hata wewe mwenyewe kuandika tu hujui
Screenshot_20250205-014142.png


Na hili tatizo sio wewe tu
yangasc-20250205-0001~2.jpg
 
Nimeshangaa baadhi ya wahandishi na wachambuzi wa mpira kuhusisha usajili wa coach Miloud Hamdi na undugu wa Yanga na Singida.

Watu hawa wana uelewa mdogo

Hii ni professional football watu wanajali pesa hawapo kwenye hizi timu kuuza sura, hii sio amateur football

Morinho amefundisha timu 3 za England Chelsea, Manchester united na Tottenham Hotspur na wala hapakuwepo maneno ya undugu kutoka hizo timu

Simba waliwachukua wachezaji dozen kutoka Azam Kapombe, Manual, Wawa, Bocco na Nyoni na watu tuliona ni biashara ya kawaida labda wachezaji walifata maslahi Yao Simba

Pia Simba ishawahi kumhamisha Ngasa kutoka Azam ila watu hawakujadili urafiki wao,

Tujikumbushe uhamishi wa Ramadhani Singano na Mafisango kutoka Azam ila watu hatukujali kuwa Kuna undugu au Azam ni tawi la Simba

Pia Mgunda alichomolewa Coast union chap na msimu ukiendelea kuja kuwa coach Simba, hapa wachambuzi hawakuongelea Coast union kuwa tawi la Simba Bali Leo ndo wanashangaa.

Soma Pia: Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic. Na kumtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Singida Black Star ni timu ya mpira wala sio tawi la Yanga maana Simba walimnunua Kagoma kutoka hiyo Singida pia waliwauza akina Kagere, Mwenda, Kennedy Juma, Onyango, Gadiel Michael n. K kwenda SBS ila hakuna aliyesema Singida ni tawi la Simba

Karibu timu ya wananchi coach Miloud Hamid

Yanga Bingwa
Pia kuongezea hapo kidogo, twende ulaya na tuangalie wachezaji waliotoka sporting Lisbon kwenda Man UTD na sasa wamemchukua Hadi kocha, haikuwahi kuwa ajabu, ila likifanywa na Yanga tayari inakuwa kero kwa baadhi ya wachambuzi uchwara
 
"WAHANDISHI NDIO NINI" HATA KUANDIKA TU HUJUI. MMILIKI WA SINGIDA BLACK STARS NI MWIGULU NCHEMBA AMBAE NI MWANACHAMA WA YANGA NA NI MJUMBE WA BODI YA WADHAMINI, KWANINI SASA SBS AND CHURA MJANE WASIWE?
 
"WAHANDISHI NDIO NINI" HATA KUANDIKA TU HUJUI. MMILIKI WA SINGIDA BLACK STARS NI MWIGULU NCHEMBA AMBAE NI MWANACHAMA WA YANGA NA NI MJUMBE WA BODI YA WADHAMINI, KWANINI SASA SBS AND CHURA MJANE WASIWE?
 
Mashabiki wengi wa mpira hawana elimu ya elimu wao wanachojua ni ushabiki na kufuata akili za wachambuzi. Sasa ikitokea mchambuzi mmoja kwa upungufu wa akili akasema neno basi mashabiki maandazi nao wanafall humo humo.
Mmiliki wa singida big stars ni mwanachama wa yanga na mjumbe wa bodi ya wadhamini yanga, sbs na yanga wanaachaje kuwa ndugu?
 
Na hii ndio hoja za wapenda soka letu lisonge mbele tatizo hapa sio kuhama tatizo ni kua yanga na singinda wanavinasaba
20241229_070802.jpg

"WAHANDISHI NDIO NINI" HATA KUANDIKA TU HUJUI. MMILIKI WA SINGIDA BLACK STARS NI MWIGULU NCHEMBA AMBAE NI MWANACHAMA WA YANGA NA NI MJUMBE WA BODI YA WADHAMINI, KWANINI SASA SBS AND CHURA MJANE WASIWE?
 
Nimeshangaa baadhi ya wahandishi na wachambuzi wa mpira kuhusisha usajili wa coach Miloud Hamdi na undugu wa Yanga na Singida.

Watu hawa wana uelewa mdogo

Hii ni professional football watu wanajali pesa hawapo kwenye hizi timu kuuza sura, hii sio amateur football

Morinho amefundisha timu 3 za England Chelsea, Manchester united na Tottenham Hotspur na wala hapakuwepo maneno ya undugu kutoka hizo timu

Simba waliwachukua wachezaji dozen kutoka Azam Kapombe, Manual, Wawa, Bocco na Nyoni na watu tuliona ni biashara ya kawaida labda wachezaji walifata maslahi Yao Simba

Pia Simba ishawahi kumhamisha Ngasa kutoka Azam ila watu hawakujadili urafiki wao,

Tujikumbushe uhamishi wa Ramadhani Singano na Mafisango kutoka Azam ila watu hatukujali kuwa Kuna undugu au Azam ni tawi la Simba

Pia Mgunda alichomolewa Coast union chap na msimu ukiendelea kuja kuwa coach Simba, hapa wachambuzi hawakuongelea Coast union kuwa tawi la Simba Bali Leo ndo wanashangaa.

Soma Pia: Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic. Na kumtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Singida Black Star ni timu ya mpira wala sio tawi la Yanga maana Simba walimnunua Kagoma kutoka hiyo Singida pia waliwauza akina Kagere, Mwenda, Kennedy Juma, Onyango, Gadiel Michael n. K kwenda SBS ila hakuna aliyesema Singida ni tawi la Simba

Karibu timu ya wananchi coach Miloud Hamid

Yanga Bingwa
Lia kidogo, nyamaza uchungu uishe. Huwezi kushinda I na mwanadamu mwenye kinywa x2
 
Mashabiki wengi wa mpira hawana elimu ya elimu wao wanachojua ni ushabiki na kufuata akili za wachambuzi. Sasa ikitokea mchambuzi mmoja kwa upungufu wa akili akasema neno basi mashabiki maandazi nao wanafall humo humo.
Wengi ni kutoka umbumbumbuni
 
Nimeshangaa baadhi ya waandishi na wachambuzi wa mpira kuhusisha usajili wa coach Miloud Hamdi na undugu wa Yanga na Singida.

Watu hawa wana uelewa mdogo

Hii ni professional football watu wanajali pesa hawapo kwenye hizi timu kuuza sura, hii sio amateur football

Morinho amefundisha timu 3 za England Chelsea, Manchester united na Tottenham Hotspur na wala hapakuwepo maneno ya undugu kutoka hizo timu

Simba waliwachukua wachezaji dozen kutoka Azam Kapombe, Manual, Wawa, Bocco na Nyoni na watu tuliona ni biashara ya kawaida labda wachezaji walifata maslahi Yao Simba

Pia Simba ishawahi kumhamisha Ngasa kutoka Azam ila watu hawakujadili urafiki wao,

Tujikumbushe uhamishi wa Ramadhani Singano na Mafisango kutoka Azam ila watu hatukujali kuwa Kuna undugu au Azam ni tawi la Simba

Pia Mgunda alichomolewa Coast union chap na msimu ukiendelea kuja kuwa coach Simba, hapa wachambuzi hawakuongelea Coast union kuwa tawi la Simba Bali Leo ndo wanashangaa.

Soma Pia: Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic. Na kumtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi

Singida Black Star ni timu ya mpira wala sio tawi la Yanga maana Simba walimnunua Kagoma kutoka hiyo Singida pia waliwauza akina Kagere, Mwenda, Kennedy Juma, Onyango, Gadiel Michael n. K kwenda SBS ila hakuna aliyesema Singida ni tawi la Simba

Karibu timu ya wananchi coach Miloud Hamid

Yanga Bingwa
Umetumia nguvu kubwa sana kuwaelimisha hao mbumbumbu wenye ugonjwa sugu wa kusahau.
 
Msemaji wa Mbumbumbu fc na mashabiki wa Mbumbumbu wamesahau Aishi Manula alisajiliwa na Singida baada ya kuachwa na Azam kabla ya Makubaliano ya uongozi wa Singida na Simba na Aish kwenda Simba.
Mbumbumbu fc wamesahau Habib Kyombo alikua amesajiliwa Singida kabla ya uongozi wa Singida kukaamezani na Simba na kuruhusiwa kuondoka Singida na kwenda Simba.
 
UKISHABIKIA SANA HIZI TIMU ZA KARIAKOO KICHWANI ZINAYEYUKA.....
 
Back
Top Bottom