Anaitwa Ajib na si Hajibu [emoji41][emoji41][emoji41]Hajibu anafanyiwa Sub.
Anaonyesha hajayakubali mabadiliko
Weekend hii kuna mtu kati ya Simba na Yanga atafungwaHaya Azam kaeni Kileleni hadi Jumapili.
Anautaka mpira, mpira unamkataaHajibu anafanyiwa Sub.
Anaonyesha hajayakubali mabadiliko
Angalau na wao wadambulie raha ya kuwa juuHaya Azam kaeni Kileleni hadi Jumapili.
Uzi bado uko Live.
Dakika ya 220' [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mod wa zamu atakuwa wakike hajui mampira hadi saa tisa hii uko liveHii game iko live hadi saaizi ππ
Inavutia YangaHata Azam hawavutii kabisa
Muache asitaafu uku mfukoni mambo safiUyu kaenda kustaafu uko
Anacheza mpira apate pesa sio sifa kuwa muelewaVery young to get Lost
Uzuri utabiri wako juu ya Azam haujawahi fanikiwaHawa this time watapoteza game nyingi.
Future yao haionekani kabisa
cc mr pipa ni hv hakuna atayefungwaWeekend hii kuna mtu kati ya Simba na Yanga atafungwa