Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
- Thread starter
-
- #21
iwe hivyo wanazingua sana.Inatakiwa yanga wapewe 2-0
Ngoma leo anang'ara balaa! Hamna jinsi.Ngoma leo yuko vizuri sana. Dalili njema tutawapiga hawa Wagosi
Wee nourmer! Mpaka sasa ndala naona washakalishwa mibale.Inatakiwa yanga wapewe 2-0
Umetekwa? viherehere Vya kuanzisha thread wakati litimu lako ninakalia libolo...[emoji53]
- 04' Mins | CST 0 - 0 Yanga
- 08' Mins | CST 0 - 0 Yanga
- 13' Mins | CST 0 - 0 Yanga
- 17' Mins Yellow card kwa sebbo yousuf wa coastal baada ya kumfanyia madhambi Thaban Kamusoko
- 21' Mins | CST 0 - 0 Yanga
- 28' Mins | CST union 1 - 0 Yanga
Miraji Adam 27' Mins ( Coastal Union)
- 30' Mins Yellow card kwa Mbuyu Twite wa Yanga baada ya kumfanyia faulo Ismail Mohammed wa Coastal Union
- 36' Mins | CST union 1 - 0 Yanga
Miraji Adam 27' Mins ( Coastal Union)
- 44' Mins | CST union 1 - 0 Yanga
Miraji Adam 27' Mins ( Coastal Union)
- 45' Mins Yellow card kwa Mnigeria Chidiebele (Sina hakika kama nimepatia jina) wa Coastal Union.
- HALF TIME | CST union 1 - 0 Yanga
Miraji Adam 27' Mins ( Coastal Union)
- SECOND HALF | CST union 1 - 0 Yanga
Miraji Adam 27' Mins ( Coastal Union)
- 51' Mins | CST union 1 - 0 Yanga
Miraji Adam 27' Mins ( Coastal Union)
- 60' Mins | CST union 1 - 0 Yanga
Miraji Adam 27' Mins ( Coastal Union)
- 67' Mins | CST union 2 - 0 Yanga
Miraji Adam 27' Mins ( Coastal Union)
Juma Mahadhi 61' Mins (Coastal Union)
Hii safi sana Jana msemaji wao aliongea mbovu sana kwa wanatanga eti tanga ni karata, bao na mapenzi mpira hakuna kitu...Poleni Yanga, na mchangani soka linachezwa ... tena vizuri tu