coastal union wamesema awaja muuza lameck lawi, simba wame sign lawi gani??

Magori leo kaongea na Wasafi anasema wamewapa Coastal Union saa 24 warejeshe fedha zao. Sasa hawa Kolo kama wameshindwa kumsajili Lawi kutoka hapa hapa Bongo je wataweza kuvunja mikataba ya International Player?
 
Magori leo kaongea na Wasafi anasema wamewapa Coastal Union saa 24 warejeshe fedha zao. Sasa hawa Kolo kama wameshindwa kumsajili Lawi kutoka hapa hapa Bongo je wataweza kuvunja mikataba ya International Player?
pesa ipo. issue ni matumizi mabaya na influence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…