Coaster ya mkataba inahitajika

Coaster ya mkataba inahitajika

Simon bora

New Member
Joined
Dec 2, 2024
Posts
3
Reaction score
0
Naitwa bora Simon Joseph natafuta muwekezaji awekeze coaster yenye dhamani ya 50ml anipe mkataba wa miaka 3 yaan miez (36)nalipa 2.4 kila mwezi kwa mawasiliano na maelezo zaid 0764764214 napatikana dar es salaam
 
Ingia bank mkuu fanya nao hii biashara,ukiona bank hawafanyi iyo biashara uelewe ni kwa nini waswahili tunarudishana nyuma kwa kufanya kazi ama kupeana Mali kisa undugu,huruma,upendo yaani wewe unatoa Mali yako uliyoumia kuipata kwa kupewa maneno ya huruma,undugu ama kusaidiana.
Ukitaka kufanikiwa chukua risk ambazo bank wanachukua Mana wao ndio wanaajiri watalaamu wa uchumi na pesa na wanawalipa pesa nyingi mno ili wawashauri.

Mfano hapa sijui utasemaje ukiumwa,ukifa,ukipata ajali, ukichoka kazi,siku ukilewa , ukaenda kwa demu,ukachoka kuingia job,chuma ikiharibika inahitajika 5M itengenezwe ama injini imekufa inahitajika 7M ibadilishwe.

Ingia benki uwashawishi Mana Wana hela na wanatafuta watu Kama wewe uwashawishi ili uwape namna ya kuzalisha hizo hela.
Hujasema siku ukipata mktaba wa coaster mpya mayai na ukapewa hesabu nafuu na hapa utakuwa umepewa kuu kuu ,yaani utazugaji kwa mwenye chombo ili umuache solemba uchukue ndinga mpya.
Samahani ni mawazo yangu.
 
Hii biashara ni nzuri ila sijui nianzie wapi!? - labda kuendesha mkokoteni nitakutana na viki ikawa zali la mentali hadi leo na kula Bata hadi unaingia kaburini (Albamu yangu ndio Kazi)
 
2.4M×36=86M
86M-50M=36M
Biashara nzuri mkuu, endelea kutafuta tajiri.
 
Ingia bank mkuu fanya nao hii biashara,ukiona bank hawafanyi iyo biashara uelewe ni kwa nini waswahili tunarudishana nyuma kwa kufanya kazi ama kupeana Mali kisa undugu,huruma,upendo yaani wewe unatoa Mali yako uliyoumia kuipata kwa kupewa maneno ya huruma,undugu ama kusaidiana.
Ukitaka kufanikiwa chukua risk ambazo bank wanachukua Mana wao ndio wanaajiri watalaamu wa uchumi na pesa na wanawalipa pesa nyingi mno ili wawashauri.

Mfano hapa sijui utasemaje ukiumwa,ukifa,ukipata ajali, ukichoka kazi,siku ukilewa , ukaenda kwa demu,ukachoka kuingia job,chuma ikiharibika inahitajika 5M itengenezwe ama injini imekufa inahitajika 7M ibadilishwe.

Ingia benki uwashawishi Mana Wana hela na wanatafuta watu Kama wewe uwashawishi ili uwape namna ya kuzalisha hizo hela.
Hujasema siku ukipata mktaba wa coaster mpya mayai na ukapewa hesabu nafuu na hapa utakuwa umepewa kuu kuu ,yaani utazugaji kwa mwenye chombo ili umuache solemba uchukue ndinga mpya.
Samahani ni mawa
 
Back
Top Bottom