Coca Cola

Sputam

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
600
Reaction score
390
Hivi soda ya CocaCola,fanta.nk zina quality ile ile Dunia nzima? Nipe Elimu ya hili suala tafadhali.
 
hapana mkuu jaribu kunywa cocacola ya kopo yenye maandish ya kiarab utaona utofaut
 
hizi za bongo hazina ubora kama za ulaya
maji ya bongo sio masafi kama ya ulaya halafu maji hayafanani kule ni top quality huku ni low quality
 
Ni sawa tu, hata we unaweza kutengeneza kwa kutumia Juice Cola-hilo neno cola maana yake ina quality.
 
Zinatofautia ubora nilipewa fanta ya kopo nilipoifungua na kunywa niliona tofauti kabsa na hizi ninywazo kila leo
 
hizi za bongo hazina ubora kama za ulaya
maji ya bongo sio masafi kama ya ulaya halafu maji hayafanani kule ni top quality huku ni low quality

ni ujinga kusifia vya ulaya
 
ni ujinga kusifia vya ulaya

ni ujinga kutaka nisifie uongo
maji yetu ya bomba yanakuja na vumbi au tope kabisa halafu nije hapa nishupalie vitu vya hovyo

taja tulichowazidi wazungu
 
Fomula ni moja tu inatumika kutengeneza hivyo vinywaji dunia nzima

Hoja ya maji haina mashiko sababu hata wakitumia maji ya baharini au ya chooni basi yatakuwa treated kuwa pure water kabla hayajachanganywa

Ni hisia tu
 
Fomula ni moja tu inatumika kutengeneza hivyo vinywaji dunia nzima

Hoja ya maji haina mashiko sababu hata wakitumia maji ya baharini au ya chooni basi yatakuwa treated kuwa pure water kabla hayajachanganywa

Ni hisia tu

au maji yale ya Bill Gate yanayotengenezwa kwa Mav.i
 
Coca zina caffein ambayo ni hatari ki afya so wakati unahangaika na test uangalie na upande huu wa athari za kiafya
 
Nashukuru wadau nimepata jibu kuwa Ubora ni TOFAUTI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…