hatimaye na yeye amefikiwa😃😎Safi naona upepo umevuma kwa mrembo coc😀
ngoja nimtag mwanangu ye34nbe ametoka kifungoni aje atembeze dislikes 😂Wazeee wa mushedede kwa 20,000
ah wapi ngoja pepa ziishe arudi humu 😂kakuwa sasa
Ulionana naye wapi?Ilikuwa ni mwaka 2020, mwaka ambao nilimfahamu mrembo huyu machachari afahamikaye kwa jina la Cocastic almaarufu Coca!
Nitafutie wifi nimuanzishie uzi..Trend imekolea nazi 😄😄
Alikula banJamaa mbona hatuoni juhudi zake au kachoka kutoa dislike😁😁
Itakuwa alimpa dislike melo😁😁😁Alikula ban