Ndungu wana jamii ninaomba mnisaidie ninahitaji COCK RING nitakipata wapi kifaa hiki, ninakihitaji sana kutokana na hali yangu.
ahsanteni kwa wote mtakaojitokeza ktk hili hitaji langu.
Nazani rahisi zaidi kupata ni katika hospitali au katika dispensary maana hapa nazani utahitaji ushauri pia kutoka kwa wataalamu jinsi ya kutumia au pia kuelekezwa kwamba kutokana na maumbile yako hauhitaji ring.Kila la heri.