Cocktail inatengenezwaje?

inakua fresh sana mkuu mana hilo jina limenivutia hata mahitaji pia
Niliikuta sehemu hiyo, hapa hapa bongo. Kuna wakenya wanatengeneza hiyo, sasa nikaona ghalama kila nikitaka kuburudika inabidi nieende kwao, nikawaomba wanipe mchanganyiko wa love booster niwe nachanganya mwenyewe. Nami mikamuelekeza shemeji yako mdogo wa chuo, akawa anatengeneza kinywaji cha mzee. Hahahaaaaa
 
hahah unaakili sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…