[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halaf ujue unaweza kukufwa sababu sababu ya wivu na roho mbaya wivu wa nini hatujuaniiMmh. Mi nijuavyo wenye maswali siku zote huwa anauliza my dear na hawi muda wa kufuatilia watu. Ukiona mtu kuingia na kuingia tu kaanza kukerwa na aliowakuta jua huyo hana kingine zaidi ya wivu. [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Watusome tu kama tulivyowasoma kwakweliYetu macho mamy, maana na humu wanatusoma kimya kimya
Carba ujue anaweza chartMi nishachuma fimbo kwa kweli mana hatutaki aibu tuacheni watu waulize maswali yao.
Mie nimesha usabscribe tayari. Napita kimya kimya kulee.Hakutakuwa na maswali ya maana zaidi ya siasa,ila tusubiri tuone
EwaaaNa wali dada [emoji39][emoji39][emoji39] usisahau kachumbari kesho
Kabisa yaani. [emoji125] [emoji125]Yetu macho mamy, maana na humu wanatusoma kimya kimya
Sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usisahau na vya kujifunza ujue
Ndio sisi hakukuwa na wengine pale. Ila mwenzenu nilijua kujiongeza.Na kweli ujue walengwa wakuu ilikuwa ilikuwa sie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikipigwa mje kunitetea mana ka emmy hakana hata nguvu mjue.
Ndio nimekukumbusha kesho hiyoEwaaa
Kachumbari ni Kesho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halaf wakawa wanapongezana swala letu sijui limefanikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie nimesha usabscribe tayari. Napita kimya kimya kulee.
Linamo si alishatoka alikuwa mwanzo na mimiNimemuona linamo kule mjue au nimemfananisha?
Mara paaap mmoja ana niquoteWatusome tu kama tulivyowasoma kwakweli
YaaniMi nishachuma fimbo kwa kweli mana hatutaki aibu tuacheni watu waulize maswali yao.
Sio mchochezi dada ujue makelele yenu yanafanya mpaka tusijifunzeSawa
Ila we mchochezi
Ahahahh kwa nini ulijiongeza vipiNdio sisi hakukuwa na wengine pale. Ila mwenzenu nilijua kujiongeza.
Niko nyuma yako UsiwazeNikipigwa mje kunitetea mana ka emmy hakana hata nguvu mjue.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kilio chetu kimesikiwa eti dada akee woiiii nisikariri mchezo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dada unajua kukariri. Chaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niko nyuma yako Usiwaze