Codes 12 muhimu kwa Wanaume katika mwaka 2025

Kutongoza ni nini?

Kutongoza ni kubembeleza mwanamke akukubalie ubebe shida na matatizo yake yote!

Ndiyo maana hata kama ana pesa ukimtongoza akakubali tu, ataanza kutumia zako zaidi
 
Hii 'manual' iwekewe lamination.
Inaweza kusaidia na kukwamua vijana wengi
 
HAPO NDIO MNAJICHANGANYA VIJANA WA JF. MARA MARUFUKU KUWA NA UHUSIANO NA MWANAMKE ASIE BIKRA,MARA MARUFUKU KUWA NA MAHUSIANO NA MWANAMKE ASIE NA KIPATO. SASA HUYO BIKRA UNDER 17 ATAKIPATA WAPI KIPATO?

MWAKA HUU NDIO WA VIJANA WA HUMU KUJIOONGOZA MWENYEWE SIO KUDANGANYWA TU NA AKINA @LIQUD. VINGINEVYO MWAKA HUU UTAKUWA BALAA KWAKO KIGEZO CHA KUSAKA BIKRA KWA KUBAKA UNDER 17. AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
 
Ngoja ni samaraizi, maana nimeona maelezo ni mengi na sisi wa Tz wavivu kusoma
  • Usitongoze mwanamke maskini/Fukara na mchoyo
  • Usipende kwa kutumia hisia, bali akili
  • Acha kuendekeza michepuko kuliko familia,
  • Ukimpa mimba mke wa mtu, ikatae hiyo mimba
  • Penda kwa akili sio hisia
  • Ishi mfumo dume,
  • Usipelekwe kwa Mix by Yass
  • Don't chase replace
 
Pamechangamka...



...Ni Hayo Tu!!
 
Umetisha sana mkuu..
 
Hapo ukipata Bikra... hizi codes zote hazifai tena
 
Siku hizi hata ile kuchati chati naye tu anataka ulipie.
Sure mkuu..
Juzi kuna demu, anataka kuniuliza kitu, anasema nimtimie MB ili anitumie picha... hapo tupo WhatsApp.. nka uliza si utumie hizi hizi unazotumia kuchart... akasema zimebaki MB 200 za tik tok..
 
Sure mkuu..
Juzi kuna demu, anataka kuniuliza kitu, anasema nimtimie MB ili anitumie picha... hapo tupo WhatsApp.. nka uliza si utumie hizi hizi unazotumia kuchart... akasema zimebaki MB 200 za tik tok..
Mpuuzi sana huyo ndio maana wanamegwa na kuachwa
 
Najaribu kutafakari na mimi, Mwanamke bikra ambaye pia anajimudu mahitaji yake yote, duu. Yaani mwanaume mwenzako awekeze ili wewe umkute amekamilika kiuchumi halafu awe bikra, duu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…