Hii 'manual' iwekewe lamination.π΅π. π±πππ-π©ππππππ π΄. π΅πππππππ
_______________________
1. Marufuku kumwamini Mwanamke anayesema, "I Love You too" (Nakupenda pia) wakati kinachosema hivyo sio Moyo wake bali ni Tumbo lake. Mwamini Mwanamke anayejimudu kiuchumi na mwenye uwezo wa kujitegemea ili anaposema "I Love You too" ujue huo ni Moyo wake ndio unaoongea.
Mwanamke Masikini na Tegemezi sio wa kumwamini sana kwasababu anaposema, "I Love You too" wakati mwingine ni ngumu sana kujua kama hiyo sauti inatoka Moyoni (Upendo) au inatoka Tumboni (Shida zake, matatizo yake). Unajua Mdomo ni kama Spika tu wenyewe unatoa tu sauti. Sasa kazi ipo kujua hiyo sauti inayotoka anayeongea (aliyeshika Mic) kama ni Moyo au Tumbo.
2. Marufuku kuwa na Mahusiano na Mwanamke asiyekuwa na uwezo wa kujihudumia kwa chakula na Mahitaji yake muhimu. Point hapa ni kwamba usiwe na Mahusiano na Mwanamke Masikini, fukara, tegemezi, mzigo, ombaomba.
Katika vigezo utakavyotakiwa kuviweka kwa Mwanamke utakayeanzisha naye Mahusiano ni pamoja na kuwa na akili ya kuweza kujipatia kipato chake mwenyewe. Asiwe Tegemezi kwako kwa kila kitu. Mwanamke akiwa masikini ni rahisi sana kuanguka kwenye Vishawishi. Licha ya Tabia njema, uzuri wa Mwonekano wake, ni lazima awe na akili ya kujiongezea kipato chake.
Ni ngumu sana kuwekeana makubaliano na Mwanamke tegemezi. Hata kama awe na tabia njema na adilifu kiasi gani akiwa masikini ni rahisi mno kushawishika ili kujiongezea kipato. Hivyo, kuepuka hayo ni bora kuanzisha Mahusiano na Mwanamke asiyekuwa Ombaomba au tegemezi kwa kila kitu.
3. Marufuku kuyabeba matatizo ya Mchepuko sawa sawa na Matatizo ya Mke wako. Mke apewe hadhi yake kulingana na hadhi yake kama Mke. Mchepuko ubaki kuwa Mchepuko na utendewe sawa sawa na anavyopaswa kufanyiwa Mpango wa kando.
4. Marufuku kuendelea na mpango wa kuanzisha Mahusiano na Mwanamke anayekulundikia matatizo yake siku hiyo hiyo aliyokupatia namba yake ya simu. Kukupatia namba yake ya simu isiwe Tiketi ya kukutwisha mzigo wa shida zake na matatizo yake na ya Familia yake. Usisahau kama ni Mama yake Kijijini kuwa Mgonjwa hata wewe wako anaumwa pia.
Matatizo yake ya kuishiwa LUKU, Gesi, Bando, Pango, Hela ya Mchezo (Kikoba, Kibati), Mchango wa sherehe, simu kuwa mbovu, hayo ni yake na wewe unayo ya kwako ambayo ni magumu na mazito zaidi ya hayo.
5. Marufuku kuwa na huruma iliyopitiliza na kuvuka mipaka juu ya Masingle Mother. Watoto wake ni watoto wake yeye na Mzazi Mwenzie. Wewe sio Kituo cha kusaidia Watoto waliotelekezwa na Baba zao ambao bado wako hai kwasababu ambazo haujazisababisha wewe. Kama Single Mother ameshindwa kuyamaliza mambo yake na Mzazi mwenzie wewe usijitwishe huo Mzigo. Jiulize kwanza kwanini Mwanaume mwezio kasepa?
Siku hizi Wanawake wengi wanashindwa kuvumilia kwenye Ndoa au wanaamua tu kuzaa bila mipango kwasababu wanajua huko nje kuna wanaume wasiojitambua wanaoweza kugeuzwa kuwa Punda wa kubeba mizigo ya Wanaume wenziwe waliokimbia kwa uzembe wa Wanawake kuzaa tu bila mipango ya namna gani watawatunza watoto.
6. Marufuku kumwamini Mwanamke ambaye sio Mke wako anayekuambia ana Mimba yako. Hata kama akikuonesha Kadi ya Kliniki yenye Majina yako, usimwamini. Wanawake wengi siku hizi hawaaminiki kwenye suala la mimba kama zaman. Zamani ilikuwa Baba mmoja anaweza akawa na Mimba nyingi. Siku hizi Mimba moja inaweza ikawa na Baba wengi.
Siku hizi Wanawake wengi wajawazito wanaenda Kliniki Hospitali zaidi ya moja kwa mimba moja. Kila Hospitali ina Kadi yake na Jina la Baba wa Mtoto mtarajiwa linakuwa tofauti. Mimba moja ina Baba Kibao, Kadi kibao, na Hospitali kibao. Wanaume hao wote wanahudumia Mimba moja bila kujuana. Siku hizi Mimba imekuwa ni Kitega Uchumi. Hata baadhi ya Wanawake walioolewa nao wanaicheza sana hii michezo.
7. Marufuku kutoa vyote kwa pamoja kwa Mwanamke mmoja, yaani Moyo wako na Nguvu zako. Hakikisha unatoa kimoja tu. Kama utampa Moyo wako basi ajue anapata tu Upendo asitegemee kuila pesa yako. Kama utampa Nguvu zako basi ajue hapo atakula Pesa zako ila hatouona Upendo wako. Maana yake utakapoamua kumwacha asikusumbue maana tayari alishalipwa chake na biashara yenu imeishia hapo.
Kwahiyo ukimpa Moyo, pesa ajitafutie na aweze kujitegemea. Ukimpa Nguvu (Pesa) asilazishe kupendwa. Akipewa Upendo asitarajie Pesa; na akipewa Pesa asitarajie kupendwa. Usiwekeze vyote kwa Mwanamke mmoja maana atakapokuja kukubadilikia uwe umekula hasara ya kimoja tu. Sio udhulumiwe Moyo wako na Pesa zako.
8. Marufuku kusababisha Kifo kwa kuua au kujiua kisa Mapenzi. Tena usimpige au kumjeruhi, kumnyanyasa kwa namna yoyote ile Mwanamke. Ukishaziona dalili za Bendera Nyekundu, achana naye kwa Amani. Kuna maisha mengine baada ya kuachana na huyo Kivuruge.
Kuupoteza uhai wake au wako kwasababu ya Mapenzi huo ni Upumbavu. Kufungwa Jela kisa Mapenzi huo ni 'umama'. Kama Mapenzi kati yenu yameisha au mmechokana, achaneni kwa Amani. Wapo walioachana kwa Amani baada ya muda kila mmoja akajitafakari na akayatambua makosa yake akaomba Msamaha, wakasameheana na wakarudiana. Lakini mkiuana mtaenda kurudiana kwa Shetani?
9. Marufuku kuitelekeza Familia au Mke kisa Mchepuko. Kama kuna changamoto kwenye Ndoa yako hakikisha unatafuta kila njia kuzitatua changaoto zilizopo na hata kuwashirikisha wengine wakusaidie kupata busara za namna ya kuzitatua. Hakuna Ndoa isiyokuwa na changamoto ila watu wanazitatua kibusara. Usiikimbie wala kuitelekeza Familia.
10. Marufuku kukataa Mimba, kushiriki kutoa Mimba au kukimbia kuwajibika kwa kusababisha ujauzito. Kama Damu ni yako hakikisha unawajibika ipasavyo kwa hilo ulilolisababisha. Tunza Damu yako. Usikiue kiumbe ulichokisababisha kwa kutoa mimba. Don't abort.
Usithubutu kuikana Damu yako kwa kuua (kutoa Mimba), kuikana, kuikimbia, kuitelekeza au kukwepa Majukumu. Ugomvi wenu wewe na Mama yake usiwe sababu ya kumtesa Mtoto au kumkana. Daima jikiteni katika kujadiliana kuliko kubishana. Mtoto hana hatia na ni Matokeo ya Mapenzi yenu. Hata kama yakifa Mapenzi muungane kumlea Mtoto wetu.
11. Marufuku kukubali kuingiliwa kinyume cha Maumbile na Wanaume wenzio. Hii haina Maelezo hapa ila yapo kwenye Maandiko Matakatifu. Piga vita Ushoga kwa nguvu zako zote. Kitendo hicho cha Ushoga, kinauthalilisha utu wa Mwanaume kwa kiwango ambacho hata Wanyama wa poroni na wa kufugwa wakitutazama wanatucheka ila hatujui tu.
12. Marufuku kukubali kuendeshwa na Mwanamke. Mwanaume una Mbavu nyingi unazo. Ulichomolewa ubavu mmoja tu akaumbwa Mke wako. Usikubali kuendeshwa na huo ubavu mmoja wakati umebakiwa na mbavu zingine kibao.
Fanya maamuzi ya kiume
π―πππ ππ π΄ππππ π΄πππ 2025.......
Basi muendelee kuliwa nauli tu.Tuko bize hatuwezi kufata Mbunye tukaacha kazi za maana. Huo ndio Usimp
Noma sana!So ni kama una lipia Papuchi..
Ila kwa sasa cha kushangaza.. imegeuka hata urafiki wa kawaida tu.. demu ana taka uwe una mtunza.
Ata taka vocha, sijui hela ya KFC,
Na hapo kutwa nzima kum post jamaa yake
Aendelee na mazoezi ya gym kwanzaHiki ni kikao cha mwezi january
Ila mwenyekiti kuna mjumbe anataka kujoin anaitwa agrey tumpe kadi au tumuache kwanza
Pamechangamka...π΅π. π±πππ-π©ππππππ π΄. π΅πππππππ
_______________________
1. Marufuku kumwamini Mwanamke anayesema, "I Love You too" (Nakupenda pia) wakati kinachosema hivyo sio Moyo wake bali ni Tumbo lake. Mwamini Mwanamke anayejimudu kiuchumi na mwenye uwezo wa kujitegemea ili anaposema "I Love You too" ujue huo ni Moyo wake ndio unaoongea.
Mwanamke Masikini na Tegemezi sio wa kumwamini sana kwasababu anaposema, "I Love You too" wakati mwingine ni ngumu sana kujua kama hiyo sauti inatoka Moyoni (Upendo) au inatoka Tumboni (Shida zake, matatizo yake). Unajua Mdomo ni kama Spika tu wenyewe unatoa tu sauti. Sasa kazi ipo kujua hiyo sauti inayotoka anayeongea (aliyeshika Mic) kama ni Moyo au Tumbo.
2. Marufuku kuwa na Mahusiano na Mwanamke asiyekuwa na uwezo wa kujihudumia kwa chakula na Mahitaji yake muhimu. Point hapa ni kwamba usiwe na Mahusiano na Mwanamke Masikini, fukara, tegemezi, mzigo, ombaomba.
Katika vigezo utakavyotakiwa kuviweka kwa Mwanamke utakayeanzisha naye Mahusiano ni pamoja na kuwa na akili ya kuweza kujipatia kipato chake mwenyewe. Asiwe Tegemezi kwako kwa kila kitu. Mwanamke akiwa masikini ni rahisi sana kuanguka kwenye Vishawishi. Licha ya Tabia njema, uzuri wa Mwonekano wake, ni lazima awe na akili ya kujiongezea kipato chake.
Ni ngumu sana kuwekeana makubaliano na Mwanamke tegemezi. Hata kama awe na tabia njema na adilifu kiasi gani akiwa masikini ni rahisi mno kushawishika ili kujiongezea kipato. Hivyo, kuepuka hayo ni bora kuanzisha Mahusiano na Mwanamke asiyekuwa Ombaomba au tegemezi kwa kila kitu.
3. Marufuku kuyabeba matatizo ya Mchepuko sawa sawa na Matatizo ya Mke wako. Mke apewe hadhi yake kulingana na hadhi yake kama Mke. Mchepuko ubaki kuwa Mchepuko na utendewe sawa sawa na anavyopaswa kufanyiwa Mpango wa kando.
4. Marufuku kuendelea na mpango wa kuanzisha Mahusiano na Mwanamke anayekulundikia matatizo yake siku hiyo hiyo aliyokupatia namba yake ya simu. Kukupatia namba yake ya simu isiwe Tiketi ya kukutwisha mzigo wa shida zake na matatizo yake na ya Familia yake. Usisahau kama ni Mama yake Kijijini kuwa Mgonjwa hata wewe wako anaumwa pia.
Matatizo yake ya kuishiwa LUKU, Gesi, Bando, Pango, Hela ya Mchezo (Kikoba, Kibati), Mchango wa sherehe, simu kuwa mbovu, hayo ni yake na wewe unayo ya kwako ambayo ni magumu na mazito zaidi ya hayo.
5. Marufuku kuwa na huruma iliyopitiliza na kuvuka mipaka juu ya Masingle Mother. Watoto wake ni watoto wake yeye na Mzazi Mwenzie. Wewe sio Kituo cha kusaidia Watoto waliotelekezwa na Baba zao ambao bado wako hai kwasababu ambazo haujazisababisha wewe. Kama Single Mother ameshindwa kuyamaliza mambo yake na Mzazi mwenzie wewe usijitwishe huo Mzigo. Jiulize kwanza kwanini Mwanaume mwezio kasepa?
Siku hizi Wanawake wengi wanashindwa kuvumilia kwenye Ndoa au wanaamua tu kuzaa bila mipango kwasababu wanajua huko nje kuna wanaume wasiojitambua wanaoweza kugeuzwa kuwa Punda wa kubeba mizigo ya Wanaume wenziwe waliokimbia kwa uzembe wa Wanawake kuzaa tu bila mipango ya namna gani watawatunza watoto.
6. Marufuku kumwamini Mwanamke ambaye sio Mke wako anayekuambia ana Mimba yako. Hata kama akikuonesha Kadi ya Kliniki yenye Majina yako, usimwamini. Wanawake wengi siku hizi hawaaminiki kwenye suala la mimba kama zaman. Zamani ilikuwa Baba mmoja anaweza akawa na Mimba nyingi. Siku hizi Mimba moja inaweza ikawa na Baba wengi.
Siku hizi Wanawake wengi wajawazito wanaenda Kliniki Hospitali zaidi ya moja kwa mimba moja. Kila Hospitali ina Kadi yake na Jina la Baba wa Mtoto mtarajiwa linakuwa tofauti. Mimba moja ina Baba Kibao, Kadi kibao, na Hospitali kibao. Wanaume hao wote wanahudumia Mimba moja bila kujuana. Siku hizi Mimba imekuwa ni Kitega Uchumi. Hata baadhi ya Wanawake walioolewa nao wanaicheza sana hii michezo.
7. Marufuku kutoa vyote kwa pamoja kwa Mwanamke mmoja, yaani Moyo wako na Nguvu zako. Hakikisha unatoa kimoja tu. Kama utampa Moyo wako basi ajue anapata tu Upendo asitegemee kuila pesa yako. Kama utampa Nguvu zako basi ajue hapo atakula Pesa zako ila hatouona Upendo wako. Maana yake utakapoamua kumwacha asikusumbue maana tayari alishalipwa chake na biashara yenu imeishia hapo.
Kwahiyo ukimpa Moyo, pesa ajitafutie na aweze kujitegemea. Ukimpa Nguvu (Pesa) asilazishe kupendwa. Akipewa Upendo asitarajie Pesa; na akipewa Pesa asitarajie kupendwa. Usiwekeze vyote kwa Mwanamke mmoja maana atakapokuja kukubadilikia uwe umekula hasara ya kimoja tu. Sio udhulumiwe Moyo wako na Pesa zako.
8. Marufuku kusababisha Kifo kwa kuua au kujiua kisa Mapenzi. Tena usimpige au kumjeruhi, kumnyanyasa kwa namna yoyote ile Mwanamke. Ukishaziona dalili za Bendera Nyekundu, achana naye kwa Amani. Kuna maisha mengine baada ya kuachana na huyo Kivuruge.
Kuupoteza uhai wake au wako kwasababu ya Mapenzi huo ni Upumbavu. Kufungwa Jela kisa Mapenzi huo ni 'umama'. Kama Mapenzi kati yenu yameisha au mmechokana, achaneni kwa Amani. Wapo walioachana kwa Amani baada ya muda kila mmoja akajitafakari na akayatambua makosa yake akaomba Msamaha, wakasameheana na wakarudiana. Lakini mkiuana mtaenda kurudiana kwa Shetani?
9. Marufuku kuitelekeza Familia au Mke kisa Mchepuko. Kama kuna changamoto kwenye Ndoa yako hakikisha unatafuta kila njia kuzitatua changaoto zilizopo na hata kuwashirikisha wengine wakusaidie kupata busara za namna ya kuzitatua. Hakuna Ndoa isiyokuwa na changamoto ila watu wanazitatua kibusara. Usiikimbie wala kuitelekeza Familia.
10. Marufuku kukataa Mimba, kushiriki kutoa Mimba au kukimbia kuwajibika kwa kusababisha ujauzito. Kama Damu ni yako hakikisha unawajibika ipasavyo kwa hilo ulilolisababisha. Tunza Damu yako. Usikiue kiumbe ulichokisababisha kwa kutoa mimba. Don't abort.
Usithubutu kuikana Damu yako kwa kuua (kutoa Mimba), kuikana, kuikimbia, kuitelekeza au kukwepa Majukumu. Ugomvi wenu wewe na Mama yake usiwe sababu ya kumtesa Mtoto au kumkana. Daima jikiteni katika kujadiliana kuliko kubishana. Mtoto hana hatia na ni Matokeo ya Mapenzi yenu. Hata kama yakifa Mapenzi muungane kumlea Mtoto wetu.
11. Marufuku kukubali kuingiliwa kinyume cha Maumbile na Wanaume wenzio. Hii haina Maelezo hapa ila yapo kwenye Maandiko Matakatifu. Piga vita Ushoga kwa nguvu zako zote. Kitendo hicho cha Ushoga, kinauthalilisha utu wa Mwanaume kwa kiwango ambacho hata Wanyama wa poroni na wa kufugwa wakitutazama wanatucheka ila hatujui tu.
12. Marufuku kukubali kuendeshwa na Mwanamke. Mwanaume una Mbavu nyingi unazo. Ulichomolewa ubavu mmoja tu akaumbwa Mke wako. Usikubali kuendeshwa na huo ubavu mmoja wakati umebakiwa na mbavu zingine kibao.
Fanya maamuzi ya kiume
π―πππ ππ π΄ππππ π΄πππ 2025.......
Umetisha sana mkuu..Ngoja ni samaraizi, maana nimeona maelezo ni mengi na sisi wa Tz wavivu kusoma
- Usitongoze mwanamke maskini/Fukara na mchoyo
- Usipende kwa kutumia hisia, bali akili
- Acha kuendekeza michepuko kuliko familia,
- Ukimpa mimba mke wa mtu, ikatae hiyo mimba
- Penda kwa akili sio hisia
- Ishi mfumo dume,
- Usipelekwe kwa Mix by Yass
- Don't chase replace
Hapo ukipata Bikra... hizi codes zote hazifai tenaHAPO NDIO MNAJICHANGANYA VIJANA WA JF. MARA MARUFUKU KUWA NA UHUSIANO NA MWANAMKE ASIE BIKRA,MARA MARUFUKU KUWA NA MAHUSIANO NA MWANAMKE ASIE NA KIPATO. SASA HUYO BIKRA UNDER 17 ATAKIPATA WAPI KIPATO?
MWAKA HUU NDIO WA VIJANA WA HUMU KUJIOONGOZA MWENYEWE SIO KUDANGANYWA TU NA AKINA @LIQUD. VINGINEVYO MWAKA HUU UTAKUWA BALAA KWAKO KIGEZO CHA KUSAKA BIKRA KWA KUBAKA UNDER 17. AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
Sure mkuu..Siku hizi hata ile kuchati chati naye tu anataka ulipie.
Mpuuzi sana huyo ndio maana wanamegwa na kuachwaSure mkuu..
Juzi kuna demu, anataka kuniuliza kitu, anasema nimtimie MB ili anitumie picha... hapo tupo WhatsApp.. nka uliza si utumie hizi hizi unazotumia kuchart... akasema zimebaki MB 200 za tik tok..
Ukishachukua namba tu kabla hujaanza mchakato unasoma kwanza hii Working ToolHii 'manual' iwekewe lamination.
Inaweza kusaidia na kukwamua vijana wengi
Najaribu kutafakari na mimi, Mwanamke bikra ambaye pia anajimudu mahitaji yake yote, duu. Yaani mwanaume mwenzako awekeze ili wewe umkute amekamilika kiuchumi halafu awe bikra, duu!!!HAPO NDIO MNAJICHANGANYA VIJANA WA JF. MARA MARUFUKU KUWA NA UHUSIANO NA MWANAMKE ASIE BIKRA,MARA MARUFUKU KUWA NA MAHUSIANO NA MWANAMKE ASIE NA KIPATO. SASA HUYO BIKRA UNDER 17 ATAKIPATA WAPI KIPATO?
MWAKA HUU NDIO WA VIJANA WA HUMU KUJIOONGOZA MWENYEWE SIO KUDANGANYWA TU NA AKINA @LIQUD. VINGINEVYO MWAKA HUU UTAKUWA BALAA KWAKO KIGEZO CHA KUSAKA BIKRA KWA KUBAKA UNDER 17. AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO