Coke studio africa - Vijana wa Tanzania wanaua bila huruma

Coke studio africa - Vijana wa Tanzania wanaua bila huruma

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Tanzania kumekucha, jogoo limewika, hakuna wa kutuzuia, moto umewaka.
Nimekuwa nikifuatili coke studio 2019 nimegundu vijana wa TZ wanaburudisha ile mbaya. Huku hii ni hatua kubwa sana maana moto umewaka.

Kuna baadhi ya shows utashangaa ubunifu wa hali ya juu wa vijana hawa.
Rayvan


Harmonize


Wanawake zaidi ya watatu wimbo wa afrika



Producer Lizer
 
Vipi wakenya mmebaki kula sukumaweek au


SWISSME
 
Back
Top Bottom