Col Mukalayi wa FARDC auwawa huko Bukavu

Col Mukalayi wa FARDC auwawa huko Bukavu

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Taarifa zilizopo, zinasema kwamba, Kanali wa DRC, Mushonda Jacques Mukalayi, aliuwawa jana, tarehe 19 Februari, 2025.
Kwa mjibu wa vyanzo,Kanali huyu, ambaye ni Mnyamlenge, aliuliwa akiwa nyumbani kwake na walinzi wake wawili.
Mukalayi, ambaye ni mnymamulenge, alikuwa akitiliwa wasiwasi kushilikiana na wanamgambo wa kikundi cha M23, kwa kuwapa taarifa za siri za jeshi la serikali(FARDC).

Bukavu ilipoangukia mikononi mwa M23, yeye hakukimbia na kwenda na wenzake, bali alibaki kwake, nyumbani, akiwa anaumwa.

Badhi ya wanajeshi wa FARDC,wameihusisha M23 na mauaji hayo, japo uongozi haujaongea chochote.

Watu wake wa karibu, wanadai huenda akawa ameuliwa na FARDC, kwa kuwa bado kuna wanajeshi na polisi wapo uraiani na wana siraha.
 
Africa baadhi yetu tunapenda sana kutambuana kwa makabila yetu,kwani angetajwa kwa ufupi tu kama Col Mukalayi wa FARDC bila kuweka “ambaye ni Mnyamlenge” isingeeleweka hii habari?
 
Taarifa zilizopo, zinasema kwamba, Kanali wa DRC, Mushonda Jacques Mukalayi, aliuwawa jana, tarehe 19 Februari, 2025.
Kwa mjibu wa vyanzo,Kanali huyu, ambaye ni Mnyamlenge, aliuliwa akiwa nyumbani kwake na walinzi wake wawili.
Mukalayi, ambaye ni mnymamulenge, alikuwa akitiliwa wasiwasi kushilikiana na wanamgambo wa kikundi cha M23, kwa kuwapa taarifa za siri za jeshi la serikali(FARDC).

Bukavu ilipoangukia mikononi mwa M23, yeye hakukimbia na kwenda na wenzake, bali alibaki kwake, nyumbani, akiwa anaumwa.

Badhi ya wanajeshi wa FARDC,wameihusisha M23 na mauaji hayo, japo uongozi haujaongea chochote.

Watu wake wa karibu, wanadai huenda akawa ameuliwa na FARDC, kwa kuwa bado kuna wanajeshi na polisi wapo uraiani na wana siraha.
Inaonekana nyamulenge wapo wengi kwenye jeshi la drc Tena Wana vyeo vikubwa habari za kubaguliwa zinatokea wapi
 
Back
Top Bottom