Collabo gani ya Albert Mangwair ukiiskliza unasema humu Cowbama alifunikwa?

Collabo gani ya Albert Mangwair ukiiskliza unasema humu Cowbama alifunikwa?

central midfielder

Senior Member
Joined
Apr 14, 2023
Posts
146
Reaction score
215
Wakuu kwema? Ndugu zangu wa Hip hop nawaomba hapa.

Hivi ni collabo gani ya Albert Mangwair ukiiskliza unasema humu Cowbama alifunikwa.

Iwe yake au ya kushirikishwa. Ebu tutaje kwa kila mtu na mtazamo wake.
 
Tuko juu ft squezer

Verse ya squeezer ilikua kali

Mafia ft Jaymoe

Design kama walitoka draw

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
hii hapa
Msela, ya KR feat. Juma Nature na CowWizzy

 
Are you serious? Unataka kutuaminisha kwamba kwenye huu wimbo vesi za Nature na KR ni kali kuliko ya Ngwair?
yeah kwa mtazamo wangu
na yeye ndiye content yake imeendana na jina la wimbo, plus hakuandika ali freestyle studio
 
Back
Top Bottom