Collabo na Alikiba: Je, Davido ni njia kuu ya wasanii wa Tanzania kuwika kimataifa?

Wameitwa AFRIMMA woote waloitwa wamefanya kazi na wasanii wa nje katika nyimbo zao dimpoz+j.martins,vee money+ko,dimond+davido&mr flavour bt ni kiba2 ndo hajaenda na "kick" ya aina hiyo...kubali kataa kiba ni jini la muziki..

Hata Ben Paul last year aliitwa afrimam usistuke sn
 
Wameitwa AFRIMMA woote waloitwa wamefanya kazi na wasanii wa nje katika nyimbo zao dimpoz+j.martins,vee money+ko,dimond+davido&mr flavour bt ni kiba2 ndo hajaenda na "kick" ya aina hiyo...kubali kataa kiba ni jini la muziki..

Mrisho mpoto na hadija kopa hawana collabl za nje co kimba tu peke ake
 
Wameitwa AFRIMMA woote waloitwa wamefanya kazi na wasanii wa nje katika nyimbo zao dimpoz+j.martins,vee money+ko,dimond+davido&mr flavour bt ni kiba2 ndo hajaenda na "kick" ya aina hiyo...kubali kataa kiba ni jini la muziki..

hiv kiba alikuwa msanii chipukizi kwan??? mbona ni jambo la kawaida mkuu kuwa nominated! yan baadhi ya mashabiki wa kiba wananishangaza sana!nyie ndo mnaendelea kumfanya kiba aonekane local artist ambae ndo anaanza kutoka kimataifa!!nyie ndo mlikuwa mkiponda collabo za wabongo na wanaija leo hii mnaishabikia kinoma ishu ya davido na kiba!!mbona khadija kopa kawa nominated msanii bora wa kike au utasema alifanya collabo na msanii wa nje na kimataifa diamond???halaf me sion haja ya kuanzisha nyuzi kibaooooo wakat thread ya fans wake ipo
 
sishangai kiba kufanya kazi na davido nitashangaa ddimond kufanya kazi na R.kelly
Duh! Nyie jamaa mnachekesha ile mbaya manake mnavyoizungumzia hiyo collabo na R-Kelly unaweza kusema ni ama personal project ya R Kelly au personal project ya Kiba! Yaani mnasahau kabisa kwamba ilikuwa ni project ya Airtel na utafikiri project yenyewe ilimpiga laana manake ikawa ndo jhiiiiii!! Ungekuwa smart ungesema ilimpaisha vipi hiyo collabo! Kitu pekee ambacho Kiba anaweza kujivunia kwenye ile collabo ni kupata kwake nafasi ya kuwa chini ya Rockstar4000 ambao hata hivyo kumbe ni wezi wa kazi za Diamond.... bwah! bwah! Bwah! Bwah! Na hawa Rockstar ambao pia wanashirikiana na Sony wala sio issue kihivyo manake hata Rose Mhando alikuwapo lakini ndo kwanza na yeye ni mtuhumiwa wa utapeli hapa mjini!!!

Tena mwaka jana, waliandaa festival ambayo waliita TribeOne (c.f project ya One8) watu tukahisi huenda Kiba hatimae angepata nafasi ya ku-perform mbele ya crowd tofauti na ile aliyoizoea lakini si tu kwamba hakuwamo kundini, na festival yenyewe ikawa cancelled hatua za mwisho!!! Hebu cheki magumashi hayo....
 
Wameitwa AFRIMMA woote waloitwa wamefanya kazi na wasanii wa nje katika nyimbo zao dimpoz+j.martins,vee money+ko,dimond+davido&mr flavour bt ni kiba2 ndo hajaenda na "kick" ya aina hiyo...kubali kataa kiba ni jini la muziki..
Duh! Kweli King Kiba kiboko! Kwahiyo ana status sawa na Queen Khadija Omar Kopa... huku King Kiba, kule Queen Khadija na wote wanagombea nafasi ya East Africa!

Big Up King & Queen!
 
Yaani hawa TeamKIba wanamwaga pumba, hadi wanatia huruma...
 
Jukwaa limeingiliwa na vivulana na labda visichana vya Facebook!!!
 
Hata Ben Paul last year aliitwa afrimam usistuke sn

ngoja nkutajie list ya wanamuziki siyo wasanii..
1.Barnaba Elias
2.Ally Kiba
3.Belle 9
4.Ben Paul
5.Dimond........na nkupe tu taarifa mkuu kwamba ikitokea hao watu nlowaorodhosha hapo juu wakianza kufanya International Collaboration hali itakuwa siyo nzurii kwa ndugu zetu zetu maana wao wanahisi namba 5 hapo juu ndo kila kitu kwa muziki wa Tanzania lakini siyo kweli hahahahaaa ni suala la nafasi tu...ahsante hop tumeelewana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…