Collins Jumaisi Khalusha, akana kufanya mauaji ya Wanawake 42

Collins Jumaisi Khalusha, akana kufanya mauaji ya Wanawake 42

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Collins Jumaisi Khalusha, anayeshukiwa kuua wanawake wapatao 42 na kukata miili yao vipande vipande kabla ya kuitupa katika eneo la machimbo la Kware huko Embakasi Kusini, amekanusha madai hayo.

Khalusha, kupitia wakili wake John Maina Ndegwa, alidai katika Mahakama ya Makadara kwamba aliteswa ili akiri mauaji hayo.

Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) ilikanusha madai ya mateso na kuomba muda zaidi ili kuwatafuta mashahidi na familia za waathirika. Licha ya pingamizi kutoka kwa Ndegwa, ambaye alisema ushahidi wa DCI ni wa kubahatisha, mahakama iliruhusu DCI kumshikilia Khalusha kwa siku 30 zaidi kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

PIA SOMA
- Mtuhumiwa wa mauaji ya Kware akamatwa, akiri kuua wanawake wasiopungua 42 ikiwemo mkewe

===================For English Audience Only================

Kware Murders: Suspect Collins Jumaisi Khalusha Tells Court He Was Molested, Tortured By Police To Confess​

Collins Jumaisi Khalusha, who is suspected of killing at least 42 women and dismembering their bodies before dumping them at a quarry in Kware area of Embakasi South, has alleged police brutality following his arrest on Monday.

Khalusha, through his lawyer John Maina Ndegwa, claimed he was tortured into making the confession that he murdered the women, while pleading with the court to grant him access to medical care.

“My client, as he sits there, is in dire need of urgent medical attention…for reasons that the period under detention, he was subjected to molestation, torture and the confession that the public is being treated to having murdered 42 persons is laughable,” argued Ndegwa before the Makadara Law Courts.

“My client has been subjected to horrendous inhuman mistreatment so that he can confess to issues which are alien to him. I pray that the court directs for urgent medical attention even as they do their investigations.”

The Directorate of Criminal Investigations (DCI) however rubbished the abuse allegations, noting that only one police officer was assigned to the suspect to record his statement.

The DCI sought to have Khalusha detained for 30 days pending the conclusion of the probe into the murders, saying if released he is likely to continue with the criminal activities.

The investigative agency also told the court that they need more time to trace witnesses and families of the victims who are scattered across the country, and that they will also need to DNA sampling, an identification parade, as well as subject the suspect to mental assessment.

The defense however opposed this, instead urging the court to grant the police only 14 days to detain the suspect as investigations continue.

“Much of what has been adduced before this court is just mere speculation and apprehension, and so my client still has a right to bail. There is nothing concrete that has been tabled before this court,” argued lawyer Ndegwa.

“Whereas the IO and prosecution have the right to conduct investigations, my client under Article 50 has a right of fair trial and they cannot have all the time they wish in this world. We will not be conceding to the 30 days, we will be asking for 14 days.”

Principle Magistrate Irene Gichobi however allowed the DCI to detain the suspect at any police station for the requested 30 days in order to complete investigations.

SOURCE: CITIZEN DIGITAL
 
Hata mimi hainingii akilini mtu kama huyo mmoja kuweza kufanikisha mauwaji ya watu wote hao.
 
Hata mimi hainingii akilini mtu kama huyo mmoja kuweza kufanikisha mauwaji ya watu wote hao.
Inawezekana wamestage au ikawa pia ni kweli japo haimake sense ikiwa ina maana kila mwezi alikuwa anaua watu 2 maana wamesema kaua watu 42 kwa kipindi cha miaka 2
 
Such atrocities and rumors are a common theme, every 5 years as we traverse near a Rubicon of General Election. So brace for an impact.

The juggernaut of marauding, abductions, despicable barbarism, pillaging and the medieval mayhem is currently being unleashed, and yet to gain a momentum.

The worse is yet to come, and 2025 will a momentous year, probably the worst in this country's history.

Ukiweza Hamia Burundi
 
Scapegoat....dah hiyo siku ya hukumu itakuwa nzito mno kwa wanadamu pindi kila mtu atakapodai haki yake .

Unaua watu halafu unamsingizia raia masikini dah
 
Back
Top Bottom