balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Aliyeita taifa stars kichwa cha mwenda wazimu ni Ally Hassan Mwinyi siyo MkapaHawa wetu ,Ben aliwaita kichwa cha mwendawazimu,ila jamaa mbabe uyu
Hapo anamaanisha wakakaze sio kufungwa kiboya boya.Kama uwezo wao ni mdogo hata angewaambia atawaua hawawezi rudi na Kombe
of course kuna mechi mkifungwa hamna hata lawama mnaona mmeonewa na mmepambana,Ila siyo kufungwa 7-0 Algeria vs taifa ,katafutwa kocha mzuri ,achague kikosi bora ya taifa ,ndege mnakodishiwa hadi viwanja vya kujenga then mnapigwa 7? Heri mrudishe helaHapo anamaanisha wakakaze sio kufungwa kiboya boya.
Me mwenyewe namwelewa sana mjombaSema huyu Colonel mimi ni shabiki wake
Kwanza muda wote amezungukwa na wanajeshi tuMe mwenyewe namwelewa sana mjomba
Hapo Itabidi awe shujaa wa Africa.Atajengewa mnara hapo Conakry.Colonel Hana shida alishasema serikali ijipange miaka miwili jeshi litaondoka madarakani
Hawa wetu ,Ben aliwaita kichwa cha mwendawazimu,ila jamaa mbabe uyu
Chawa.Wewe unayetutuma ni nani?!