Colonel Mamadi Doumboya: Rudini na kombe la sivyo mtarudisha hela

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapo anawaambia msilete uboya
 
Hapo anamaanisha wakakaze sio kufungwa kiboya boya.
of course kuna mechi mkifungwa hamna hata lawama mnaona mmeonewa na mmepambana,Ila siyo kufungwa 7-0 Algeria vs taifa ,katafutwa kocha mzuri ,achague kikosi bora ya taifa ,ndege mnakodishiwa hadi viwanja vya kujenga then mnapigwa 7? Heri mrudishe hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…