We naye mbona unapuyanga sasa..!Tupo vizuri kwenye video.
sio kweli...wafupi tupo kibaoooo...labda unaowanaga wewe ni warefu..toka nimeanza kuwaangalia macomando wa Tanzania sijawahi kuona comando mfupi. inamaana Tanzania hamna watu wafupi ambao wanauwezo wa kuwa macomando?
Sasa wewe unapiga kelele kwa jeshi gani mlilokuwa nalo Al shabaab wa nne tuu wakawatoa kamasi hadi mkaleta vifaru,Helkopta,midege ya kivita na bado wakafanikiwa ku escape.......wakaishia kuiba vitu kwenye Mall.Mbona povu?imagine nilikiuwa nadhani hao ni ma actors, kumbe jeshi duuuh. still amateur actors.
Wakuu wa mikoa na wilaya ni Viongozi wa kuteuliwa na mteuzi aliye chaguliwa na walioipigia kura katika uchaguzi wa mkuu wa nafasi za uongozi wa kisiasa.Mkuu ya mkoa Na wilaya Ni kiongozi wa kisiasa?
Je wewe si mrefu.?Dah! Dua zenu wakuu nami ntajiunga soon kwenye comando
Maonyesho ya sarakasi za kijeshi ndio uonyeshwa kwenye tv. Lakini mafunzo ya kijeshi uonyeshwa vitani.We naye mbona unapuyanga sasa..!
Man up.We naye mbona unapuyanga sasa..!
[HASHTAG]#Fact[/HASHTAG]I got to say... hiyo mliiona ni basic training... hamuwezi onyeshwa.. ile advanced training... ambayo ndipo ukomando haswa ulipo. So pls.. stop kuwaponda hawa vijana...
Na nyie mnao waponda embu nenden bas kama mnaweza hizo tiz...
UkomavuNafikiri tukomae kukuza uchumi zaid, coz vita ya kisasa inahusisha zaidi uchumi sambamba na teknolojia.. sio Misuli na ukovavu pekee... hapo ndio tutakuwa madhubuti haswaaa...
ila naamini usaili ukiwa wa haki tungekuwa na wanajeshi imara zaidi ya haoNa hapo ndipo tunapata makomandoo wafupi wasio na vipaji.
Ni kitu gani kinakufanya uone kuwa usaili unaweza kuwa siyo wa haki? Na umewezaje kujua kuwa hao wanajeshi uliowaona siyo imara? Umetumia kipimo gani na ukilinganisha na nini?ila naamini usaili ukiwa wa haki tungekuwa na wanajeshi imara zaidi ya hao
Sangasanga- Ngerengere morogoroMartial arts maalum kutoka lugalo.
HAHAHAHAHA wapasua matofali, fcking actors.
kweli mkuu nimempotezeausibishane na huyu dada, maana anaonekana aidha yu ktk balehe au hajabalehe, msijewekwa kundi moja maana anonekana hana adabu na ana roho ya ukabila!
Hee kumbe ni wafupi? sikujua mkuu! lakini wanasema usidharau wembamba wa reli!Je Malawi watatishika na mikanda ya video ya makomandoo wafupi.?
This shows how STUPID DUMBASS you are..u better delete this sh*t[emoji51] [emoji51]HAHAHAHAHA wapasua matofali, fcking actors.
nilishauthuriaga usaili katika wilaya moja yani waliotajwa kuwa wamepita kwenye usaili hakuna hats mmoja ambae alikuwepo Sikh hio sasa nikashangaa hawajafanyiwa usaili sasa wamepitaje nikajua pesa imefanya yakeNi kitu gani kinakufanya uone kuwa usaili unaweza kuwa siyo wa haki? Na umewezaje kujua kuwa hao wanajeshi uliowaona siyo imara? Umetumia kipimo gani na ukilinganisha na nini?
Inawezekana usaili ulikuwa zaidi ya intake moja mkuu, kwa hivyo labda waliopita walifanya usaili siku nyingine tofauti na wewe.nilishauthuriaga usaili katika wilaya moja yani waliotajwa kuwa wamepita kwenye usaili hakuna hats mmoja ambae alikuwepo Sikh hio sasa nikashangaa hawajafanyiwa usaili sasa wamepitaje nikajua pesa imefanya yake