mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
mkuu fatilia ata usaili wa mwaka huu uone wakuu wa wilaya na afisa Mgambo wanavyokula rushwaa bila woga kutoaa hizo nafasiInawezekana usaili ulikuwa zaidi ya intake moja mkuu, kwa hivyo labda waliopita walifanya usaili siku nyingine tofauti na wewe.
Huna akili mjinga mmoja wee,kapiganeni na alshababuHAHAHAHAHA wapasua matofali, fcking actors.
Hakuna unalolijiua wewe, ni hivii uanajesh ni moyo wa uvumilivu na sio urefu au mwili mkubwa.Makomandoo wafupi wapo Tanzania ya sasa, na duniani wapo Tanzania tu. Kipindi cha Mwalimu Nyerere, makomandoo, jwtz na ffu walikuwa warefu.
Leo hii utakutana na askari mwenye urefu wa futi tano. Unajiuliza hapa imekuwaje?
Mind your words,control ur feelings.HAHAHAHAHA wapasua matofali, fcking actors.
It isnt easy to lay it off, when you display direct disrespect to our armed forces, not agreeing with their methods/display of fitness is okay but not with such disrespect, I will keep quoting you as I please, you have no respect, dont call me brother, I dont have sisters wenye "domomavi"lay off that reply button for a minute bruh, like 10 times you quoting me, whats good? nimeboeka nikaona niwatafash kidogo, I know y'all a sensitive bunch especially when one mentions those actors you call soldiers. Question chief, hivi wapi wata apply hizo tactics except bar brawls na kuzima fujo mtaani?
Safi sana kamandaMbwa wewe usidharau askari wetu, Wanajeshi siyo wanasisa na tena ukome kabisa shwaini wewe.
Huna akiri weweMbona povu?imagine nilikiuwa nadhani hao ni ma actors, kumbe jeshi duuuh. still amateur actors.
Huna akiri wewe
HAHAHAHAHA wapasua matofali, fcking actors.
Dah.... Tena kwa kwa kutumia mbinu zilezile.....kama US waliwafunza mbinu za mashambulizi mitaani tu.... bila kulinda kambi zenu.. Jifunzeni bana [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kama waimba taarabu vile nyie hamuoni ya kwenu kila siku kambi za jeshi mnavamiwa na alshababu
Hakuna unalolijiua wewe, ni hivii uanajesh ni moyo wa uvumilivu na sio urefu au mwili mkubwa.
Kuna vigezo mkuu.kuna vitu utaambiwa ufanye utashindwatoka nimeanza kuwaangalia macomando wa Tanzania sijawahi kuona comando mfupi. inamaana Tanzania hamna watu wafupi ambao wanauwezo wa kuwa macomando?
Nashukuru umeligundua hilo kua nina akili fupi, lakin yote hayo kama huna moyo wa uvumilivu na kujitolea huwez kuyafikia na ndio maana kabla ya yote kunakua na mafunzo ya kutokulala huku wakifanya mazoez magumu sana hio yote ni kupima uvumilivu, na hata kukimbia wengi hukimbia kipindi hiko cha awali kwa sababu kunakua na mfululizo wa vipindi na hata nafasi ya kulala japo kidogo tu inakosekana kwa hio unakuta mtu anashundwa kuvumilia anakimbiauanajeshi ni pamoja na uzalendo, ukakamavu, afya bora, mafunzo ya kijeshi (sio sarakasi) , intelijensia, umbo la mwili( vitambi, ufupi, urefu )
akili zako fupi kama hao.
Kwa Mfano?Kuna vigezo mkuu.kuna vitu utaambiwa ufanye utashindwa
kuhusu jeshi mkuu hata misri,nigeria,ethiopia,s.afrika hatujawafikia na cjui hii thread source umeitoa wapiJanuary 28, 2017
Comando from Tanzania episode three
https://aloycenyakunga.blogspot.com The Tanzania Peoples’ Defence Force was created in September 1964. From its inception, it was ingrained in the troops that they were a people’s force under civilian control. They were always reminded of their difference from the colonial armed forces. They were given a very clear mission, to defend Tanzania and everything Tanzanian, especially the people and their political ideology. Intensive efforts were made at indoctrination, with almost a quarter of training time reserved for politics. As a result, not only the commanders but all the troops knew exactly where they stood in relation to the party, the government and the people.
The president was the executive, as well as the party chairperson, the spokesperson of the nation’s policies and political philosophy and the commander-in-chief of the armed forces. The TPDF as an institution knew that they owed their existence to the president, the government and the party. In addition, the appointments of the chief of the defense force down to battalion commanders were either directly made by the president or his personal approval was required.
The social mix of the TPDF played an important role in relations within the military and between the military and civil society. It has already been mentioned that the soldiers came from various tribes. They also came from all strata of society. Officers were selected after a general recruitment and not from special groups, and commissioned appointment depended on individual performance. This section provides information on the TPDF, its structure, history, mission and role. For more information visit the TPDF website
Mkuu wanawake wngn bleed zinawajia vibaya hana sababu yyt kutumia matusHata spelling zinakushinda, umenikasirisha na dharau zako hilo napuuzia ila sasa kwanini matusi! kwani unachuki gani na JWTZ? unaruhusiwa kukosoa kistaarabu lakini matusi hayavumiliki!