Combinatiom mpya A'level

Combinatiom mpya A'level

Zero Brain

Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
39
Reaction score
3
Samahan wadau
habar znu?
Naomben kujua kuhusu comb mpya ya CBM iloanzshwa ivi karbun, ukiisoma A'level chuoni waweza kusomea coz gan hasa?
Nataman sana kuisoma hii coz naihofia sana phy
 
Wadau weny ideal basi naomben mnisaidie mwny kunikejel bac mungu amjalie huenda yy akawa anajua yote
 
Wewe jamaa mbona unajiita zero brain? Au kwa vile physics inakupa wakati mgumu? Embu sema hiyo CBM ni kitu gani? Ni chemistry, Biology na mathematics ?

Kama ni ndio basi chuoni waweza fanya kozi kama vile biotechnology, pharmacy, Medicine, Zoology, Botany, marine science .....duh yaani zipo nyingi mno!
Wadau weny ideal basi naomben mnisaidie mwny kunikejel bac mungu amjalie huenda yy akawa anajua yote
 
Wewe jamaa mbona unajiita zero brain? Au kwa vile physics inakupa wakati mgumu? Embu sema hiyo CBM ni kitu gani? Ni chemistry, Biology na mathematics ?

Kama ni ndio basi chuoni waweza fanya kozi kama vile biotechnology, pharmacy, Medicine, Zoology, Botany, marine science .....duh yaani zipo nyingi mno!

Umemjibu vizuri, big up
 
Hakikisha utapata princpl 2,na utapata vyuo vingi tu tz hapa.
 
Samahan wadau
habar znu?
Naomben kujua kuhusu comb mpya ya CBM iloanzshwa ivi karbun, ukiisoma A'level chuoni waweza kusomea coz gan hasa?
Nataman sana kuisoma hii coz naihofia sana phy

imeanzishwa lini hiyo combination, waraka namba ngapi ya elimu?
kuhusu chuoni bado mbali mdogo wangu, soma kwanza umalize f6 then utakapofaulu ndio uje tena humu JF kutuomba ushauri.
 
mbona masomo yako mbalimbali sana. bios ni kukariri, chemistry nayo ina kukariri sana kwenye organic na inorganic na maths ni mathematics!!. hapo si mambo yatakuwa mchanganyiko sana. unaunga viungo vya pilau kwenye ugali!. lakini ukitoka chuoni unaweza soma chemical engeneering, environmental engeneering, what else!?, agronomy, kozi zote za afya(japo udaktari wanabana ila hadi umalize watakiwa wameachia), upishi, account, hortculture, ushonaji, ualimu, verterinary, IT ..........nimekupa hiyo like hapo juu kwa sababu nimeona hauna hata moja
 
CBM. Nzuri

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mmh kwa jinsi naifaham biology ya A-level hyo combonation itakuwa tata kama pgm vile. Lakin kwny market chuoni utakuwa na uwanja mpana sana wa kupata vyuo na kozi mbali mbali kama pharmacy, forestry, MBB molecular biology and biotechnology, Microbiology, aquaculture, agronomy na kozi nyingi sana. Ila hiyo komb nahisi usomaji wake utakuwa mgumu maana biology ina carricullum ndefu sana kuipanga na maths pamoja sijui kama ni fair. Nadhan tumesomeka
 
Lengo hasa la serikali kuanzisha hiyo Kozi ni lipi?Naona sasa watawachanganya tu hawa watoto halafu baadae waanze tena kuchakachua matokeo yakiwa mabaya!
 
Wewe jamaa mbona unajiita zero brain? Au kwa vile physics inakupa wakati mgumu? Embu sema hiyo CBM ni kitu gani? Ni chemistry, Biology na mathematics ?

Kama ni ndio basi chuoni waweza fanya kozi kama vile biotechnology, pharmacy, Medicine, Zoology, Botany, marine science .....duh yaani zipo nyingi mno!
Medicine na Marine Science bila Physics sina uhakika sana
 
Back
Top Bottom