Alikuwa ananifariji sana kwa hicho kibwagizo/maamkizi
Kabisa yaani ile jioni foleni unakuwa huioni jamaa akianza kupiga stori zake. Tuwaombee neema watoto wake waliosalia yatima.Alikuwa anatuvusha sana kwenye foleni za barabarani na jahazi lake. Pumzika kwa amani Kibonde. MUNGU awalinde watoto wake.
Alikuwa na utani fulani hadi muda mwingine unacheka mwenyewe..Asalaaam aleykum hata kama umeshika bomba...namaanisha bomba la daladala