Combination ya Outarra na Inonga tunatolewa na Big Bullets

Combination ya Outarra na Inonga tunatolewa na Big Bullets

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Ule mzuka wa outarra kwangu umeshuka kabisa nilidhani labda sababu yeye na Inonga wanaongea kifaransa itakuwa rahisi kuwasiliana kumbe ni hovyo kabisa.

Outarra ana mazuri yake lakini akipitwa nusu hatua tu kwisha kazi yake ujue nyavu zinaenda kutikisika sijui ni mzito ama nini, agh?

Hata kama kocha ni mbishi kutetea ingizo lake si amuweke namba 6 ambayo tunaambiwa anajua kuicheza, onyango na inonga wacheze nyuma?

Bora angekuja tu yule m cameroon Harvey ngomo, saa nyingine hawa makocha wa kizungu nao ni madalali tu nilishangaa inakuwaje Al hilal inayojijenga upya ikiwa na tajiri mpya aliywekeza 12.5 millions us dollars wamuachie beki wa miaka 23 kwa usd 50,000 tu? bila shaka waliona mapungufu yake

Inaonekana huyu Zoran anaogopeka hapo Simba hata la kumshauri tu amsogeze kipenzi chake outtara namba 6 watu wanaogopa ila tuambiane tu ukweli the defence is shaky
 
Watu wanasema usajili inabidi ufanywe na kocha! Mimi huwa sikubaliani na hilo. Kocha inabidi aikute timu
Huyu kocha kwa sajili za dejan na outarra hata ukimpa nafasi ya kusajili wachezaji 30 atafanya sajili za magumashi za ten pasenti hawa ni wapiga deals, anapiga hela anawaudhi mnafukuza mnalipa fidia
 
Ule mzuka wa outarra kwangu umeshuka kabisa nilidhani labda sababu yeye na Inonga wanaongea kifaransa itakuwa rahisi kuwasiliana kumbe ni hovyo kabisa.

Outarra ana mazuri yake lakini akipitwa nusu hatua tu kwisha kazi yake ujue nyavu zinaenda kutikisika sijui ni mzito ama nini, agh?

Hata kama kocha ni mbishi kutetea ingizo lake si amuweke namba 6 ambayo tunaambiwa anajua kuicheza, onyango na inonga wacheze nyuma?

Bora angekuja tu yule m cameroon Harvey ngomo, saa nyingine hawa makocha wa kizungu nao ni madalali tu nilishangaa inakuwaje Al hilal inayojijenga upya ikiwa na tajiri mpya aliywekeza 12.5 millions us dollars wamuachie beki wa miaka 23 kwa usd 50,000 tu? bila shaka waliona mapungufu yake

Inaonekana huyu Zoran anaogopeka hapo Simba hata la kumshauri tu amsogeze kipenzi chake outtara namba 6 watu wanaogopa ila tuambiane tu ukweli the defence is shaky


Hawa Jamaa wawili hawana muungano kabisa, tutafungwa sana Kwa timu zilizo Makini

Aina ya magoli tunayofungwa mpaka Sasa , Ukianzia mechi ya Simba na Yanga, ni matokeo ya ubovu wa Outtara na Enonga.
 
Hawa Jamaa wawili hawana muungano kabisa, tutafungwa sana Kwa timu zilizo Makini

Aina ya magoli tunayofungwa mpaka Sasa , Ukianzia mechi ya Simba na Yanga, ni matokeo ya ubovu wa Outtara na Enonga.
HATA KIPOFU ANALIONA HILO na inaonekana mzungu kaamua kumbeba kijana wake,watu uongozini nao kimya wanategea afeli wamtimue kumbe hawajui makocha wa aina hii huwa hawajali, mtimueni mumlipe fidia yake ya kuvunja mkataba baada ya week mbili unaiskia kapata vilaza wengine wa kumuajiri
Inonga na outarra aisee hapana kwa kweli bora tu acheze nyoni na kennedy
 
Ule mzuka wa outarra kwangu umeshuka kabisa nilidhani labda sababu yeye na Inonga wanaongea kifaransa itakuwa rahisi kuwasiliana kumbe ni hovyo kabisa.

Outarra ana mazuri yake lakini akipitwa nusu hatua tu kwisha kazi yake ujue nyavu zinaenda kutikisika sijui ni mzito ama nini, agh?

Hata kama kocha ni mbishi kutetea ingizo lake si amuweke namba 6 ambayo tunaambiwa anajua kuicheza, onyango na inonga wacheze nyuma?

Bora angekuja tu yule m cameroon Harvey ngomo, saa nyingine hawa makocha wa kizungu nao ni madalali tu nilishangaa inakuwaje Al hilal inayojijenga upya ikiwa na tajiri mpya aliywekeza 12.5 millions us dollars wamuachie beki wa miaka 23 kwa usd 50,000 tu? bila shaka waliona mapungufu yake

Inaonekana huyu Zoran anaogopeka hapo Simba hata la kumshauri tu amsogeze kipenzi chake outtara namba 6 watu wanaogopa ila tuambiane tu ukweli the defence is shaky
Ntakubaliana nawewe 100%
 
Inonga ni mzuri sana tena sana,mistake zake chache mno alafu zinarekebishika kwa kuambiwa kwa mdomo tu...yaan Inonga ni kitendo cha kumwambia cheza hivi acha kucheza vile..hapo umemaliza..

Ila kwa huyu Ouatarra..akili na mwili wake ni ngumu kumwambia cheza hivi acha kucheza vile kwa mdomo tu...yaan anahitaji mazoezi hasa tena kwa kujituma kweli kweli
 
Ule mzuka wa outarra kwangu umeshuka kabisa nilidhani labda sababu yeye na Inonga wanaongea kifaransa itakuwa rahisi kuwasiliana kumbe ni hovyo kabisa.

Outarra ana mazuri yake lakini akipitwa nusu hatua tu kwisha kazi yake ujue nyavu zinaenda kutikisika sijui ni mzito ama nini, agh?

Hata kama kocha ni mbishi kutetea ingizo lake si amuweke namba 6 ambayo tunaambiwa anajua kuicheza, onyango na inonga wacheze nyuma?

Bora angekuja tu yule m cameroon Harvey ngomo, saa nyingine hawa makocha wa kizungu nao ni madalali tu nilishangaa inakuwaje Al hilal inayojijenga upya ikiwa na tajiri mpya aliywekeza 12.5 millions us dollars wamuachie beki wa miaka 23 kwa usd 50,000 tu? bila shaka waliona mapungufu yake

Inaonekana huyu Zoran anaogopeka hapo Simba hata la kumshauri tu amsogeze kipenzi chake outtara namba 6 watu wanaogopa ila tuambiane tu ukweli the defence is shaky
Kwenye hili mkuu nakuunga mkono Combination ya Inonga na Onyango ni bora sana kuliko huyu Ouattara kucheza na Inonga
Yaani beki ni mzito akipitwa hata hatua moja tu ujue imeisha hafanyi action yoyote hata kama ni nje ya 18 zaidi ya kumsindikiza mtu akafunge
Huyu Beki kwa mechi za kimataifa tusitafute mchawi
 
HATA KIPOFU ANALIONA HILO na inaonekana mzungu kaamua kumbeba kijana wake,watu uongozini nao kimya wanategea afeli wamtimue kumbe hawajui makocha wa aina hii huwa hawajali, mtimueni mumlipe fidia yake ya kuvunja mkataba baada ya week mbili unaiskia kapata vilaza wengine wa kumuajiri
Inonga na outarra aisee hapana kwa kweli bora tu acheze nyoni na kennedy
Yoote umeongea ila Inonga aache utoto ile mechi ya Kotoko alifanya mizaha mara tatu ajabu ni kwamba hakukua mashabiki ambao ndio hua ugonjwa wake
 
Upo sahihi mleta mada,kiukweli hata tukivuka hatua iyo ya kucheza na Wanyasa bado atutafikia malengo ya semi final kwa beki hizi za Tsabalala,Oatara na Kapombe.
 
Back
Top Bottom