endesha sasa siuliomba? mbona usukani umekuwa shubirir:drum:
Ni kiti cha pikipiki ndio kimembinua au yeye mwenyewe kajibinua au ndivyo alivyo? Don't judge a book by its cover!
Nadhani viungo vya mwili huwa vina uwiano na vipimo halisi, mfano miguu sabini kwa sabini ya mtu mzima ni hekari moja
sasa huo mdomo mkubwa hivyo sijuhi unawiana na nini?