Come back ya Yanga ni kubwa sana nje ya uwanja,mwamuzi wa jana wa Namungo na Simba achunguzwe kuna mtu kamtuma

Come back ya Yanga ni kubwa sana nje ya uwanja,mwamuzi wa jana wa Namungo na Simba achunguzwe kuna mtu kamtuma

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Ninachojua Simba ina uwezo wa kumfunga Namungo bila makando kando yoyote.

Yanga ni mafia sana na walimpa maelekezo mwamuzi aiharibu mechi maksudi ili kufuta malalamiko mengi ya timu yake kufanya maigizo na kupeana pointi na timu zake.

Hii hali unaweza kudhani ni mipango ya Simba kumbe Simba nao wanashangaa tu.
Ila mjue nyuma mwiko ni ina watu wa hivyo wanafanya kazi kijasusi kama free masons.

Soka limefikia pabaya kisa nyuma mwiko wanatafuta utawala wa soka nchini kwa kila hali huku hawataki kabisa timu yoyote izungumzwe kwa ukubwa kuliko wao.

Hapa mashabiki wenzangu wa Simba wengi tunaingia kwenye mfumo wao kisha wanatuita mbumbumbu kwa kuwa wanaichafua timu yetu kwa akili sana na sisi tunawasapoti kwa kushindwa kufikiri mambo kwa kina

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Simba tuna point 3, mengine watajua wenyewe.

Mkuu, sina hakika ila mshindi wa NBC nadhani analipwa M600 na wa pili M300, hiyo ni tofauti ya M300.

Pesa ipo club bingwa Africa na shirikisho ukivuka kuanzia robo.

Kama figisu za ligi zikizidi tukaachwa, tuhakikishe tu hatukosi nafasi ya pili ila tuvuke robo kwenye mashindano ya Africa, hii kimaslahi inalipa zaidi.
 
Simba tuna point 3, mengine watajua wenyewe.

Mkuu, sina hakika ila mshindi wa NBC nadhani analipwa M600 na wa pili M300, hiyo ni tofauti ya M300.

Pesa ipo club bingwa Africa na shirikisho ukivuka kuanzia robo.

Kama figisu za ligi zikizidi tukaachwa, tuhakikishe tu hatukosi nafasi ya pili ila tuvuke robo kwenye mashindano ya Africa, hii kimaslahi inalipa zaidi.
nyau bhana
kwamba mnafanyiwa figisu

mnapewa panati za ushindi ni figisu

mkitaka kufungwa refa anamaliza mpira ni figisu

kadi nyekundu za ajabu ni figisu

mbona hizi figisu zinawanufaisha nyie tu
 
Ninachojua Simba ina uwezo wa kumfunga Namungo bila makando kando yoyote.

Yanga ni mafia sana na walimpa maelekezo mwamuzi aiharibu mechi maksudi ili kufuta malalamiko mengi ya timu yake kufanya maigizo na kupeana pointi na timu zake.

Hii hali unaweza kudhani ni mipango ya Simba kumbe Simba nao wanashangaa tu.
Ila mjue nyuma mwiko ni ina watu wa hivyo wanafanya kazi kijasusi kama free masons.

Soka limefikia pabaya kisa nyuma mwiko wanatafuta utawala wa soka nchini kwa kila hali huku hawataki kabisa timu yoyote izungumzwe kwa ukubwa kuliko wao.

Hapa mashabiki wenzangu wa Simba wengi tunaingia kwenye mfumo wao kisha wanatuita mbumbumbu kwa kuwa wanaichafua timu yetu kwa akili sana na sisi tunawasapoti kwa kushindwa kufikiri mambo kwa kina

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Nyie mlibonyeza button mbaya kujaribu kushindana na yanga kwenye umafia,,nyie ni wachache sana amjai ata kwenye kiganja cha mkono wangu,,icho kikamati chenu kinachoongozwa na Hassan dalali cha ubaya ubwela kitasambalatishwa kama pumba za mchele na bado amjasema mtasema tu!
 
nyau bhana
kwamba mnafanyiwa figisu

mnapewa panati za ushindi ni figisu

mkitaka kufungwa refa anamaliza mpira ni figisu

kadi nyekundu za ajabu ni figisu

mbona hizi figisu zinawanufaisha nyie tu
Ukiona timu yako inaishia makundi kimataifa huku ndani inashinda goli 6 ujue ushindi ni wa namna namna janja weed.
 
Nyie mlibonyeza button mbaya kujaribu kushindana na yanga kwenye umafia,,nyie ni wachache sana amjai ata kwenye kiganja cha mkono wangu,,icho kikamati chenu kinachoongozwa na Hassan dalali cha ubaya ubwela kitasambalatishwa kama pumba za mchele na bado amjasema mtasema tu!
Nakubaliana maana huo ni utamaduni wa timu yenu kwani mmewekeza kwenye vitu vingine kabisa sio soka.
Sushangai hata wachezaji wenu kuwaongezea nguvu za kijini ili wawe bora ambapo tu inashindikana kimataifa sijaelewa ni kwa nini,huenda waganga wenu huwa wana njaa kama mganga wa Hamisa Mobeto

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana maana huo ni utamaduni wa timu yenu kwani mmewekeza kwenye vitu vingine kabisa sio soka.
Sushangai hata wachezaji wenu kuwaongezea nguvu za kijini ili wawe bora ambapo tu inashindikana kimataifa sijaelewa ni kwa nini,huenda waganga wenu huwa wana njaa kama mganga wa Hamisa Mobeto

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wewe usidhani hizi timu atuzijui mambo yao,,zote Zina umafia isipokuwa uwa zinazidiana umafia Mmoja akimuwai mwenzake ndio hivyo vilio vitasikika lakini usiseme eti yanga imewekeza kwenye vitu vingine wakati na Simba ndio wale wale!
 
Simba tuna point 3, mengine watajua wenyewe.

Mkuu, sina hakika ila mshindi wa NBC nadhani analipwa M600 na wa pili M300, hiyo ni tofauti ya M300.

Pesa ipo club bingwa Africa na shirikisho ukivuka kuanzia robo.

Kama figisu za ligi zikizidi tukaachwa, tuhakikishe tu hatukosi nafasi ya pili ila tuvuke robo kwenye mashindano ya Africa, hii kimaslahi inalipa zaidi.
Sijaelewa we ni shabiki wa timu gani na unaongea kitu gani?

Kwanza tuombe radhi sisi mashabiki wa SIMBA sisi SIMBA hatugombanii nafasi ya pili, nafasi ya 2 anaigombania YANGA NA AZAM.
 
Sijaelewa we ni shabiki wa timu gani na unaongea kitu gani?

Kwanza tuombe radhi sisi mashabiki wa SIMBA sisi SIMBA hatugombanii nafasi ya pili, nafasi ya 2 anaigombania YANGA NA AZAM.
Sawa mkuu.
 
Ninachojua Simba ina uwezo wa kumfunga Namungo bila makando kando yoyote.

Yanga ni mafia sana na walimpa maelekezo mwamuzi aiharibu mechi maksudi ili kufuta malalamiko mengi ya timu yake kufanya maigizo na kupeana pointi na timu zake.

Hii hali unaweza kudhani ni mipango ya Simba kumbe Simba nao wanashangaa tu.
Ila mjue nyuma mwiko ni ina watu wa hivyo wanafanya kazi kijasusi kama free masons.

Soka limefikia pabaya kisa nyuma mwiko wanatafuta utawala wa soka nchini kwa kila hali huku hawataki kabisa timu yoyote izungumzwe kwa ukubwa kuliko wao.

Hapa mashabiki wenzangu wa Simba wengi tunaingia kwenye mfumo wao kisha wanatuita mbumbumbu kwa kuwa wanaichafua timu yetu kwa akili sana na sisi tunawasapoti kwa kushindwa kufikiri mambo kwa kina

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kumbe wanawaita mbumbumbu!! Sijapenda.
 
Ukiitwa ukatoe ushahidi unao au ndio utaishia kupwitapwita?
 
Back
Top Bottom