<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">sasa Loner.....kama sio kunitakia kifo ni nini?......hili furushi lote huku nyuma nalikimbizaje?.....we niambie tu hapo nafanyaje.....</span></font></font>
Ni muda wakufanyiya kazi hilo kifurushi chako.. Kinaweza kupungua na kwa saizi ya kipotable... Siri ya urembo ni kukimbia kidogo na kutembea muda mrefu zaidi...sasa Loner.....kama sio kunitakia kifo ni nini?......hili furushi lote huku nyuma nalikimbizaje?.....we niambie tu hapo nafanyaje.....