Comedy original (TBC) VS Comedy star search (EA tv)

Italeta ushindani, na hicho ndicho twakimiss!!
 
Nafikiri italeta changamoto....unajua tatizo la Tanzania ni kuwa watu wanakosa ushindani na hivyo wanajisahau sana!Nafikiri itasaidia mambo mapya kwenye mambo haya ya uchekeshaji!

Mpogro hiyo status yako mbona imetokeza mno
 
ni kweli mengi wa hovyohovyo tena sana tuu,kama hutaki funga pc yako!
 
ni kweli mengi wa hovyohovyo tena sana tuu,kama hutaki funga pc yako!
anaweza kuwa wa hovyo kwa maoni yako na tafsiri yako.
ila sivyema kutaka kutuaminisha wooote humu ndani kuwa Huyo mzee ni wa Hovyo.
 
anaweza kuwa wa hovyo kwa maoni yako na tafsiri yako.
ila sivyema kutaka kutuaminisha wooote humu ndani kuwa Huyo mzee ni wa Hovyo.

Ni kweli Nguvumali kila mtu ana akili na mtizamo wake siku zote
 
Huwa napenda sana ITV/EATV wanavyokuwa creative na proffesion katika mambo yao. Huwa hawakurupuki na nadhani wanafanya tafiti nzuri kwa customers wao. Nawapa pongezi sana.

Mhh! What a great s(th)inker!
 
EATV kama ingekuwa maamuzi yangu , wangechagua wale vijana wapya katika medani ya siasa, waanze nao moja, waachane na kina Kingwendu na Baambo, hawana jipya katika fani.
Baambo ni yuleyule watangu zama za Kaole, tena sasa hivi ndo anazidi kuchoka kimaigizo, Kingwendu duuh, huyu hapana, fani ilimshinda siku nyingi aendelee na Musiki wake huenda ukamtoa
 
Muda wa burudani umefika sasa mimi na wajukuu zangu tutaanza kukaa kwenye tv na kuangalia vichekesho.
 

Yap, umesema kweli kina Kingwendu wa nini?. Lakini pia EATV wangeenda na mikoani /wilayani wangeweza kuja na wasanii bora zaidi, sio kukomalia wa hapahapa Dar tu....
 
Wakumbuke maneno ya shigongo wakati alipoandika makala yake kuhusu kuwasema watu wamefulia,aliwaambia " No one is a champion forever" Mfumo wa maisha ulivo ni kuwa unakuwa champion kwa muda flani halafu anakuja champion mwingine,na kuendelea.......Their time is up.The beginning of and end for Orijino Comedy.
 

Kweli kabisa mwana tena hii hapa chini waraka wake shigongo
 
ni kweli mengi wa hovyohovyo tena sana tuu,kama hutaki funga pc yako!

Hivi mtu wa ovyo ovyo anakuwaje? unatumia kigezo gani kumwita mtu ni wa ovyovyo 'askofu' Pengo ukiwa ni mtumishi wa Mungu.
 
Ni vizuri kipindi kiwekwe muda unaolingana. Hii itaongeza quality ya service wanayoitoa baada ya kuwepo kwa upinzani.

Hawa vijana walimboa kila mtu baada ya kuanza kumbeza mzee mengi wakati bila yeye hawa jamaa wasingejulikana na mtu yeyote yule. Yeye ndiye aliye wainua.

Hata michezo yao siku hizi imekaa kisiasa zaidi, si wakosoaji kama walivyokuwa hapo awali kwa serikali.
So tunahitaji comedians free siyo hao mateka wa serikali.
 
Tunasubiri kucheka tu... kazi ya remoti nini?? ukiona kushoto kunaboa, unahamia kulia
 
Mi naona hawa jamaa wa eatv wanavyotafuta vipaji wanafanya poa sana...watapata vipaji vya ukweli sana big up
 
jamani hapo juu nimeusoma waraka wa shigongo akiwapa darasa hawa watoto wa orijino comedy, then mwisho kaandika wiki ijayo atatoa waraka unaomzungumzia YATIMA sekione david...je umeshatoka au?
Kama kuna ntoto wa ntu kaufuma mahali auanike hapa, ili tusome mtu fudenge alivyokuwa anashindia ufuta na juice ya kupima...
 
courtesy of GPL (global publishers limited)


Hatimaye kundi litakalo unda Ze Comedy katika kituo kinachorusha matangazo yake Afika Mashariki na Kati, EATV au Channel 5, limepatikana, hivyo kuleta furaha kwa wasanii 7 waliochanguliwa kati ya wasanii 500 waliojitokeza na wale 10 walioingia fainali....huzuni ilikuwa kubwa kwa mashabiki baada ya msanii Kingwendu kutemwa kwenye kumi bora! Wafuatao ndiyo watakaounda kundi hili na tayari wameshalamba ajira kwa kazi ya uchekeshaji...kazi kwako kuona nani zaidi!!!!



top ten ...



bambo ...



mtanga ...



kiwewe ...



Twahili Shabani a.k.a Kombo


gers Richard a.k.a Kicheko au Masawe Mtata.


Said Ally a.k.a Rushwa.



Ally Juma a.k.a Mzee wa Miondoko



Sura ya huzuni ya Kingwendu ngwendulile...baada ya kutemwa..!!

..... Wakina Masanja na wenzake wakae mkao wa kula ... seems competition itakuwa tough coz hawa madogo ambao hawana majina sana watawasumbua kwa ubunifu na vitu vipya ... Habari ndio Hiyo!!
 

Attachments

  • comedy.th.jpg
    4.3 KB · Views: 47
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…