Miaka yote wakikuyu ndio huwa wanaamua hatma ya Urais (wingi wao na ushawishi).Ruto asijione Bab kubwa bila Kenyatta..hawezi kushinda .
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aawapi Jubilee wako njiani kumtimua Jubilee kuna faction mbili Kieleweke chini ya Uhuru na Tangatanga chini ya Ruto! kumekuwa na vikao vya kumtimua Ruto ila kila wakati maamuzi yanhairishwa! Hizi vitu ni vikubwa kuvielewa Ruto is a wrong guy to take the presidency after Uhuru! Ni mtu wa kinyongo na si wa kuaminika ana tamaa pia ukiacha ula rushwa! don't be deceived by his facade at mcha Mungu!Okeeei
Kwa hiyo uda ni tawi la jubilee?
Jubilee wanasemajee?
Hahaha, nimecheka mno mkuuyaani una-support Ruto na hujui UDA ni nn? Kweli humjui vizuri!
Aawapi Jubilee wako njiani kumtimua Jubilee kuna faction mbili Kieleweke chini ya Uhuru na Tangatanga chini ya Ruto! kumekuwa na vikao vya kumtimua Ruto ila kila wakati maamuzi yanhairishwa! Hizi vitu ni vikubwa kuvielewa Ruto is a wrong guy to take the presidency after Uhuru! Ni mtu wa kinyongo na si wa kuaminika ana tamaa pia ukiacha ula rushwa! don't be deceived by his facade at mcha Mungu!
mbona RAO hatoi mabulungutu kila Jumapili makanisani?Lkn in Kenya no one can point a finger to another regarding graft.
"our"?? u mean the Kalenjins?Our chief hustler, and UDA is the number one party in Kenya.View attachment 1846136View attachment 1846137View attachment 1846139View attachment 1846141
Umekwazwa na kipi?."our"?? u mean the Kalenjins?
huyo jamaa ni mwizi unaita jamaa hustler ana castle in private runway in Sugoi! wewe una hata choo pale Kibera?Umekwazwa na kipi?.
Our chief hustler, and UDA is the number one party in Kenya.View attachment 1846136View attachment 1846137View attachment 1846139View attachment 1846141
Kajambe ulale!.huyo jamaa ni mwizi unaita jamaa hustler ana castle in private runway in Sugoi! wewe una hata choo pale Kibera?
UDA ,kazi Ni kazi all hustle matters. Dynasties MUST fall.Tukisema UDA, mnajibu kazi inaanza upyaaa!!
Sasa anaye shindana na Ruto ni nani? ,ww upo Kenya au Burundi usiyejua siasa za Kenya?.Ruto saafiii.
Wanajaribu kushindana naye lkn hawatashinda
The illusion of choiceIs the war btn Dynasty and Husler....
elewa hapo
Hawezi kushindana na wakikuyu!! Imekula kwake!Ni kiongozi ambaye anatanguliza masilahi ya wananchi siku zote. Kila anachoongea anataja wananchi kama ndiyo waamuzi wa mwisho. Pia anaitaja BBI kuwa haiko kwa ajili ya wakenya bali kwa kikundi fulani cha wachache. Ndiyo maana hayuko pamoja nao, amejitenga baada ya kuona masilahi ya walio wengi hayazingatiwi.
Kila la kheri mh. Ruto.