heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
wabongo banasasa wewe mbona unapenda kuongea pumba na kujitungia ujinga? Ukiingia kwenye blog ya diamond hakunaga ivi vi2 unavyoandika hapa kila siku kwaio wewe unamjua sana diamond kuliko yeye anavyojijua!? Kwaio wewe ndio meneja wa diamond?
sasa wewe mbona unapenda kuongea pumba na kujitungia ujinga? Ukiingia kwenye blog ya diamond hakunaga ivi vi2 unavyoandika hapa kila siku kwaio wewe unamjua sana diamond kuliko yeye anavyojijua!? Kwaio wewe ndio meneja wa diamond?
sasa kama unaadmin web yake unawezaje kuja kuifcha huku habar nyeti kama hyo kama ni ya kweli? Jaz alitangaza Magna Carta Holy Grail kwenye web yake rasmi. Sasa kama web ya diamond yenye viewers weng hujaweka then unakuja huku tutakuelewaje? Acha uongo na admin wa web ya diamond nawajua na c ww mshabik wa kujtolea kushnda JF unahangaika. Kamuuliza Rama Mpauko au Moze Iyobo ID hii ya nan atakwambia. Then acha kuuza sura kwa pcha zko JF huwez pata umaarufu kama unavyodhan
et admin, admin gan hata kuandka spelling za sean paul zinakushinda? Unaadmin vp sasa kama hata kupanga heruf ni tabu? Dogo unachekesha, pga kaz umek money acha kupoteza muda
nimekusoma kwa mda mrefu sana mzee ni nini shida?Kumpiga BAN Matola ni sawa na kumfunika
Nyuki kwa Tenga...atatoka tu
Kumpiga BAN Matola ni sawa na kumfunika
Nyuki kwa Tenga...atatoka tu
Ulipotea sana jukwaani kiasi kwamba nikashindwa kupata updates za platttt beibiiiiii