Coming soon: Temeke Mwisho Satellite City

Coming soon: Temeke Mwisho Satellite City

n00b

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2008
Posts
1,015
Reaction score
2,680
attachment.php


Feb 2012 concept design

Concept design for a sustainable regeneration of existing populated & unorganized area

Land: 101,600 Sq.m (25 Acres)
Population: 13,000 residents
Total Built-up Area: 305,600 Sq.m
Total units: 2,200
 

Attachments

  • TemekeFlats.gif
    TemekeFlats.gif
    123.3 KB · Views: 2,846
Ndo ile project ya Mama Tibaijuka kule Twangoma?
 
Wabongo wanapenda picha, so wape picha. Ndio maana wanafunga safari kwenda kupiga picha Mlimani City na Quality Centre kisha wanarudi kwao Buguruni Mnyamani, Tandale Mtogole au Manzese kwa Mfuga Mbwa na ku-chilll tu wala hawawi-inspired! Business as usual. Na serikali inalijua hilo vizuri sana.

Tunataka vitu halisi na sio mapicha picha tuuuu.
 
Wabongo wanapenda picha, so wape picha. Ndio maana wanafunga safari kwenda kupiga picha Mlimani City na Quality Centre kisha wanarudi kwao Buguruni Mnyamani, Tandale Mtogole au Manzese kwa Mfuga Mbwa na ku-chilll tu wala hawawi-inspired! Business as usual. Na serikali inalijua hilo vizuri sana.

Tunataka vitu halisi na sio mapicha picha tuuuu.

Hapo wabongo umewamaliza tena ukiongezea na ka 3d video lol
 
Hivi nini maana ya satelite city
Jf nipeni darasa hapa
 
Hahaha kwa kweli tumezidi kwa porojo 2009 nilikuka tz kila siku nikawa naona project ya kibamba kama sijakosea,hadi leo kimya tena itv ndo walikua wanatangaza sana mhmh
 
Kibamba,kigamboni,mabwepande na hiyo tena?Huenda wajukuu zetu wakakutana na hiyo miji ya kufikirika
 
ukitaka kuwaweza wabongo we njoo na picha tu habar yao kwishaaa. haya hapo tayari ishajengwa nenden mkapange.
 
shida ya planners wetu ni kama wahindi na wabangladesh, space za hata kupumua, kupaki magari na recreation activities nehi che!!
 
Back
Top Bottom