Ninakerwa sana na uendelezaji wa eneo ambapo mimi napaita mji mkongwe wa Dar es Salaam....
Hakuna maeneo mengine wajameni?????
Maintenance, maintenance, maintanance! Tutaweza? Umeme ukikatika na wale walio orofa ya hamsini na saba watafanyaje?
jamani kwani hamna graphics za watu weusi au hilo jengo watakua wanaenda weupe tu
angalia hiyo picha the grand lobby