Coming to America ni wangapi mnaikumbuka

View attachment 1187181

Wakati huo ukiwa na TV na deki unalipia leseni T-shirt 1,000 kwa mwaka.


Oooo, it is "Going to America", because Eddie Murphy went to America from Bermunda kingdom, he being an eldest prince, with all what he did while in America, he ended up engaged and finally at his suprise got marriage to an American girl named Lisa under protest from his king- father but under his mother influential power to the king. (Woman power).😜

I myself prefer the title "Going to America" to "coming to America"🤣🤣
 
one of my favorite movie
hata niiangalie mara 100 huwa siichoki
ila pia hadi sasa kwa vijana ina mafundisho mengi sana:

1. kubwa ni Juu ya ndoa
'follow your heart '

2. Tamaa- baba yake binti anawakilisha wazazi wengi wanaoangalia kijana ana utajiri kiasi gani ili aoe binti yake!

3. wazazi tusiwachagulie watoto wachumba tuwasapoti kama mama wa Eddie alivyokuwa anasapoti kijana wake
mwisho wa siku yakiwashinda wakose wa kulaumu bali nafsi zao

4. tusiwe watu wa kujionesha
hata kama tuna mali na nafasi kubwa
tuishi kawaida tu na heshima yako ipo pale pale wala sio lazima ujioneshe ili wakujue wewe ni nani
Eddie hakutaka hizo habari za kujulikana au kujionesha
HILI LIMEWASHINDA WENGI SANA

5. usimwamini mwanamke sana tafuta kujua anahitaji nini
wala sio hela zako
(Japo wapenda hela nao wapo)
nipende mimi Kama mimi jinsi nilivyo na wala si kwa nilichonacho
 
6. Ulinzi
Mwanaume usimame kama mume hata ktk kipindi kigumu
usiwe muoga
Eddie anajizolea points baada ya hotel kuvamiwa na Samwel Jackson then akasimama kama mwanaume kuonesha uanaume maana yake nini
binti akaona huyu huyu

7. simamia unachokiamini
coz hata Wapambe- wanaweza kukuharibia badala ya kukusaidia kutimiza azma yako
Eddie mpambe wake anaomba hela kuwa wanaishi kwa shida
hela zinafika anafanya renovation ya chumba chao
kitu ambacho Eddie anahisi kitaonesha uwezo walionao kifedha
hadi anaomba Landlord awabadilishie room nyingine

8. wengi wanatamani waolewe japo hata Kama umri umewatupa mkono
Lisa na kuvishwa pete kwenye train yule bibi anatoa ushauri but mwisho wa siku anasema kama amekataa nivishe mimi
Hahahah anaomba pete japo sijui kama alikuwa serious
 
Minder wa Prince Akim aliwadanganya totoz kuwa yeye ni Prince.
 
9. Kazi ni kazi
vijana tusichague kazi ilihali tunajua tunachokihitaji hata Kama tunahisi kuwa tuna status kubwa
Eddie yupo tayari kuwa mfanya usafi
but mpambe anahisi ni dharau kwao kufanya hiyo kazi

10. Hata Marekani (kwa wale wenye mawazo ya kukimbilia huko) NI LAZIMA ufanye kazi ndiyo ule na
asiyefanya kazi na asile
maisha sio rahisi hivyo tunavyoamini
Huko Maisha ni magumu pia na omba omba wapo
hata vibaka na waporaji pia
Eddie wanaibiwa mabegi yao ile karibisha mgeni
JAPO USA INABAKI KAMA NCHI YENYE FURSA

11. Majirani hawapendi usumbufu
Hahah (sehemu nayoipenda)
Eddie Asubuhi anawasalimia majirani zake
mwenyeji mmoja anamtusi
F*ck you
then nae anajibu
Yes Yes F*ck you too
usiwe na muda wa kununiana na mtu kisa kakutusi nawe waweza mtusi then ngoma droo
Maisha yasonge

Dah nikisema mafundisho yapo mengi mnooo
 

Hiyo nnamba 4 ndio kubwa kuliko yaaani mie napenda sana maisha ya kuwa humble.
Binadamu tunakuwa na mbwembwe nyingi wakati cha muhimu hapa maishani ni afya njema na kugegeda tuu. Mengine yote ubatili tuu.
 
Minder wa Prince Akim aliwadanganya totoz kuwa yeye ni Prince.

Hahaha anataka kutembelea nyota ya mwenzake but wapambe wengi wapo hivyo
Haha na wanawake wengi wanaingia 18
fikiria mdogo wake Lisa na wapo wengi wa hivyo
Ila movie ina funzo kwa vijana
Eddie wakati anampa Lisa Jaketi pale kwenye bembea na chupa ya wine
VIJANA WASIKILIZE LISA ALICHOMWAMBIA Eddie na liwe funzo
Kuna namna ya kuongea na mwanamke
haha sio kuongopa kama mpambe wake alivyokuwa ameanza
IF YOU ARE PRINCE THEN WHO AM I?
 
Hiyo nnamba 4 ndio kubwa kuliko yaaani mie napenda sana maisha ya kuwa humble.
Binadamu tunakuwa na mbwembwe nyingi wakati cha muhimu hapa maishani ni afya njema na kugegeda tuu. Mengine yote ubatili tuu.
Afya bora na nini vile......
 
Hii Movie kiukweli ni nzuri Sana'a.

Eddy Murphy alifanya kazi nzuri sana
 
Your royal penis is clean your highness....hatari bayo mambo wake wanatakiwa kufanya sema nao vichwa vigumu
 
Clarence : You must be outta your God-damned mind! Joe Louis the greatest boxer who ever lived. I'll be with you boys in a minute. He was badder than Cassius Clay, he was better than Sugar Ray, he was badder than - who's that new boy? Mike Tyson! Look like a bull dog! He was badder than him too! He'd whip Mike Tyson's ass, he'd whip all their asses!

Saul : What about Rocky Marciano?

Clarence : Oh, there they go! There they go! Every time I start talking about boxing, a white man gotta pull Rocky Marciano outta their ass! That's they one! That's they one! Rocky Marciano! Rocky Marciano! Lemme tell you something once and for all! Rocky Marciano was good, but compared to Joe Louis, Rocky Marciano ain't shit!

Saul : He beat Joe Louis's ass!

Morris : That's right, he did whip Joe Louis's ass!

Clarence : Joe Louis was seventy-five years old when he fought!

Morris : I don't know how old he was, but he got his ass whooped.

Clarence : Joe Louis had come out of retirement to fight Rocky Marciano! The man was seventy-six years old! Joe Louis always lied about his age! He lied about his age all the time! One time, Frank Sinatra came in here, and sat in this chair. I say, "Frank, you hang out with Joe Louis. Just between me and you, how old is Joe Louis?" Know what Frank told me? He said "Hey, Joe Louis is a hundred thirty-seven years old." A hundred and thirty-seven years old!

Sweets : Oh, man, you ain't never meet no Frank Sinatra.

Clarence : https://jamii.app/JFUserGuide YOU! https://jamii.app/JFUserGuide YOU! AND https://jamii.app/JFUserGuide YOU! Who's next?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…