This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Arsenal walidhani kabisa wanaenda kuuwa tembo kwa ubua kwamba wana kikosi bora kabisa.
2. Arsenal waliingia wanjani na matokeo yao mfukoni,tena wakiwa na kumbukumbu za mechi ile ya ngao ya jamii walipochukua ngao,wakaamin kabisa wanawamudu The Reds.
3. Mashabiki wa Arsenal wana mdomo sana uku mtaani,ni waongeaji sana halafu mpira hakuna.Unawezaje mlinganisha Sadio Mane,Salah,Frimino cjui na huyo Aubamayang,Lacazette,Pepe.Mnashika bunduki zisizo risasi halafu mnamtaka kuuwa kwa risasi
2. Arsenal waliingia wanjani na matokeo yao mfukoni,tena wakiwa na kumbukumbu za mechi ile ya ngao ya jamii walipochukua ngao,wakaamin kabisa wanawamudu The Reds.
3. Mashabiki wa Arsenal wana mdomo sana uku mtaani,ni waongeaji sana halafu mpira hakuna.Unawezaje mlinganisha Sadio Mane,Salah,Frimino cjui na huyo Aubamayang,Lacazette,Pepe.Mnashika bunduki zisizo risasi halafu mnamtaka kuuwa kwa risasi