Comment chochote kuhusu Tanzania na Watanzania

zootopia

Member
Joined
May 29, 2016
Posts
74
Reaction score
76
Kama wewe ni Mtanzania au Mwana Afrika Mashariki comment chochote kuhusu Sifa za Tanzania na Watanzania (a.k.a Wabongo na Bongoland).

Karibuni...
 
Watanzania wanaitwa wapumbavu kabisaa

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania ina utajiri wa maliasili lakini wananchi wake ni maskini
 
Mwenye elfu 4000 aniazime plz nimekunywa bia za watu sina hela ya kulipa...nitamrudishia kesho

Makinikia
 
Waoga kudai haki zao

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Uongoz,wa jf umetuletea
Mods uchwara kwa sasa

Yan nmeponea chupu chupu
Kulimwa ban

Cc inna,ivuga,daby

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Watanzania wape kichwa cha habari tu.. wanashusha stori nzima kama walikuwepo.

Tanzania ndio nchi pekee utayokutana na foleni barabara zote nne kwenye junction na foleni hazitembei.
Mandela road junction ya tabata
Folen inaanzia mwananch
Mpaka tazara

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Kama wewe ni Mtanzania au Mwana Afrika Mashariki comment chochote kuhusu Sifa za Tanzania na Watanzania (a.k.a Wabongo na Bongoland).

Karibuni...


Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Wanaongozwa na wagonjwa wasiotibika hata kwa miujiza ya mungu "
 
Watanzania hawana trust no one trust no one and no one is worth to be trustworthy
 
Mkuu unamaanisha anavaa sketi au Linda gani?

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Hahah unakunywajw bia za wanaume mkuu?In return unawalipa nini?

Tombatomba idevice Model TH 45
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…