Sizikumbuki....lakini nawakumbuka wachangiaji ambao wakichangiaga lazima mbavu zangu nizishike hahaaaaa kuna Rubii daaaaah comments zake huwa zinaniongezea siku za kuishi lakini pia kuna valentine na miss chagga..
Daaaaah hawa watu hapana shikamooo atheeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.