Comment za kuchekesha mitandaoni

Looh!! Una roho ngumu we kaka
 
ukizaliwa tanzania tayari kucheka ni zawadi umeshapewa maana mambo yanavyofanywa lazima utacheka tu na maengine yatakuhuzunisha sana
 
wewe nawe umekua boya sasa kwani kuna kosa hapo ulilofanya ataenda kula kwao shuwaini ila nimependa ulichotenda mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…