Comment za kuchekesha mitandaoni

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜
Aisee huu uzi nmecheka mpaka nahisi kutapika๐Ÿคฃ! Haya mambo kipindi nasoma walikuwa wanayafanya back benchaz...Walimu walikuwa wanamaindi kichizi.

Tanzania kuna vimbwanga sana
 
Hahaha ila usidhani ni uongo haya yanafanyika kabisa.

Nilishamfanyia mwanamke hivi ila nimekuja kugundua nilifanya unyama baada ya miaka 10 kupita.

Nilikutana naye kwenye daladala...nikampanga wee takaribani lisaa lizima mwisho akakubali. Tukaenda lodge.

Nikalipa pesa tukaingia tukaoga kisha tukafanya mambo.... kisha nikamwambia naenda kukuchukulia chakula nisubiri....

Nikapotea moja kwa moja. Huyo mwanamke na uhakika alinilaani maisha yake yote....ila anisamehee tu maana nilikuja kujutia.
 
Aisee huu uzi nmecheka mpaka nahisi kutapika๐Ÿคฃ! Haya mambo kipindi nasoma walikuwa wanayafanya back benchaz...Walimu walikuwa wanamaindi kichizi.

Tanzania kuna vimbwanga sana
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„Kuna watu wana majibu mabaya nimecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ