kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Ile movie imejaa sex scenes zake kibao, labda hata Willy alimkubali baada ya kuona namna Mtoto anavyojituma kwenye ile movie.
Hawapendi show off kama alivyo king KibaUmesahau na mastar wa Philippines wanakujaga Serengeti na Kilimanjaro kimyakimya
Jada hata kwenye movie ya SET IT OFF scene ya sex walimpa yeye, kalikuwa hakaogopi kuonyesha vikalio.Naam na ile movie ndo iliyomtoa Jada!! Na yule BOKEEM mule alionyesha ukichaa kweli kwelil
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawapendi show off kama alivyo king Kiba
😘😘[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unadhani na huyu anakunywa gongo kama wewe?Hazeeki huyu maza
Manzi wa tupac, mke wa will smith,mama wa willow na jaden smith movie star usimchukulie poasasa cha ajabu nini hapo? kama Gate,Obama,Clinton,Bush,Abramovic,Brazil,Kanye,Jigga,50,Rossey,Fat,Shaggy,Beyonce,na wahuni kibao wa Us wameshawahi kutua bongo who is Jadda?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15][emoji8][emoji8]
Shikamoo babaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
dohunadhani na huyu anakunywa gongo kama wewe?
Kiongozi ulicheki na Jason's lyrics? Kule pia alikimbiza balaa
Jason's lyric
Sio x zote zinakuwa za ukweli zingine anaefanya ni mtu mwengine lkn zinatengenezwa kuonekana km yeye. Ni km wale stuntman.Jada hata kwenye movie ya SET IT OFF scene ya sex walimpa yeye, kalikuwa hakaogopi kuonyesha vikalio.
Hata niliposikia Willy ndio kafa kaoza nikashangaa sana, nadhani kalikuwa kanaendana zaidi na Pac kuliko Willy.