Comment ziwe fupi fupi

PESA

hivi unapenda dini au unapenda kabila, au unapenda wakarimu au walio na Hasila?

PESA

Naamini aliyekuumba teyali ameshakufa, maana kalileta janga kashindwa Kuziba ufa......

Wakuu hizi zote njaa tuu na tamaa za kidunia,,,, Tumuombee.
 
View attachment 2553947
Sasa unakua shoga alafu vitu vizuri namna hii umwachie nani?

Ngoja niendelee kupiga mazoezi
Tatizo LA wabongo ndo hili, aliyekuambia kila mwanaume anataka wanawake nani? Wamekuachia wee hivyo vitu vizuri, uvitumie kwa wingi, ushindwee wee tyuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…