Freewine
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 257
- 211
Kwa miaka mitatu ambayo nimekuwa humu jamvini hakika nimegundua Kuna baadhi ya watu wanna IQ kubwa Sana ila Kuna wengine dooh! Lazima uwatafakari Mara mbili mbili ila yote kwa yote Ni kuwezesha eneo hili kukamilika kila idara.
Sasa nakupa comments tatu nilizozisoma kwenye baadhi ya Nyuzi na Mimi nikabaki nakicheko mirua kabisa
1. Watu walikuwa wanaongelea madhala ya kutokuwa na Pesa na umaskini kwa ujumla, jamaa mmoja aka comment " yaani usipo kuwa na hela sio to kwamba unakosa heshima kwa jamii Bali hata wanyama Kama Bata, kuku zitafanya mapenzi mbele yako😂🤣" nilicheka Sana
2. Wengine wakawa wanajadili vibwanga vya serikali, jamaa mmoja akakoment " tutaona mengi kwenye nchi ya VIWONDER 😂🤣" Nilicheka Sana
Unaweza na wewe kuweka comments fupi ya maadili na wewe uliyokuchekesha tufurahi wote
Sasa nakupa comments tatu nilizozisoma kwenye baadhi ya Nyuzi na Mimi nikabaki nakicheko mirua kabisa
1. Watu walikuwa wanaongelea madhala ya kutokuwa na Pesa na umaskini kwa ujumla, jamaa mmoja aka comment " yaani usipo kuwa na hela sio to kwamba unakosa heshima kwa jamii Bali hata wanyama Kama Bata, kuku zitafanya mapenzi mbele yako😂🤣" nilicheka Sana
2. Wengine wakawa wanajadili vibwanga vya serikali, jamaa mmoja akakoment " tutaona mengi kwenye nchi ya VIWONDER 😂🤣" Nilicheka Sana
Unaweza na wewe kuweka comments fupi ya maadili na wewe uliyokuchekesha tufurahi wote