Comments zinazokera kwenye Uzi

Comments zinazokera kwenye Uzi

sic2019

Senior Member
Joined
Oct 14, 2018
Posts
129
Reaction score
81
Habari wana JF wote kwa ujumla. Kama title inavyojieleza.

Nimeona Leo nianzishe huu Uzi ili wenye hizi tabia waache kwa sababu naamini muda mwengine huwa inawakera baadhi ya waleta mada.

mtu amejipinda kuandika siri zake humu ili apate msaada watu wengine wanaleta mzaha kwa comments zisizo saidia
Au mtu kaandika Uzi mrefu katiririka vitu vya msingi halafu anajikuta anakutana na comments kama zifuatazo :-

1. Jifunze kuandika kwanza
2. Umeandika kama unakimbizwa
3. Sawa
4. Nimewahi kiti cha mbele
5. Au mnasemaje mods
6. Jua kutofautisha kati ya R na L
7. Tuwasubiri wajuvi waje
8. Shule bora zifunguliwe
9. Una miaka mingapi
10. JF kumeingiliwa
11. Nipe namba yake (mtu anaomba ushauri kuhusu mkewe)

Na nyengine nyingi
"Ngoja waje kukupa mwongozo"

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Eti........bila kapicha, habari hii ni umbea tu!

Nitarudi

cc: Pablo Blanco [emoji3][emoji3][emoji3]

Mleta mada akianza tu ooh mdogo wangu au rafiki yangu anahitaji msaada ataambulia hii comment

Si useme ni wewe tu kwani nani anakujua


Wacha nitulie hapa


Uzi tayari
 
R na L nimejifunza kutofautisha humu humu JF.
Waliokua wanakwazika wamenisaidia aisee. Shida wengine standard 1 to 3 ndio tulikua watundu hata shule sometimes hatufiki.
Ni kweli kurekebishana kunajenga, huwa kuna kujifunza ndani yake, hata kama mtu atachukia.

Japo wengine hufanya kwa kukomoa.
 
Habari wana JF wote kwa ujumla. Kama title inavyojieleza.

Nimeona Leo nianzishe huu Uzi ili wenye hizi tabia waache kwa sababu naamini muda mwengine huwa inawekera baadhi ya waleta mada.

mtu amejipinda kuandika siri zake humu ili apate msaada watu wengine wanaleta mzaha kwa comments zisizo saidia
Au mtu kaandika Uzi mrefu katiririka vitu vya msingi halafu anajikuta anakutana na comments kama zifuatazo :-

1. Jifunze kuandika kwanza
2. Umeandika kama unakimbizwa
3. Sawa
4. Nimewahi kiti cha mbele
5. Au mnasemaje mods
6. Jua kutofautisha kati ya R na L
7. Tuwasubiri wajuvi waje
8. Shule bora zifunguliwe
9. Una miaka mingapi
10. JF kumeingiliwa
11. Nipe namba yake (mtu anaomba ushauri kuhusu mkewe)
Sawa... !! Lakini usipokubali kukosolewa hutaacha tabia au matendo yasiyofaa
 
Sasa unataka tufanyeje ? ila kiukweli wanakera sana na comments zao za ajabu .
 
Back
Top Bottom