Commission Agent (ARUSHA, MWANZA, MBEYA, DODOMA, MOSHI)

JAY2da4

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2008
Posts
213
Reaction score
157
Commission Agent Wanahitajika (ARUSHA,MWANZA,MBEYA,DODOMA,MOSHI) .

Sifa ;

-Awe na kampuni iliyosajiliwa .
-Awe na ofisi karibu na barabara .
-Ofisi iwe na internet .
-Kwa mwenye huduma za internet cafe itakua ni vizuri zaidi.


Kwa maelezo zaidi,ni pm au piga simu namba : 022 277 1316
 
Mdau weka taarifa lukuki, je ni maeneo ya mijini tu ya hiyo mikoa?, biashara gani na vitu vingine muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…